Naomba ushauri wenu

Naomba ushauri wenu

Amandiva

Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
38
Reaction score
9
Mimi ni binti,nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana na mimi kufahamika kwao,,tatizo lilikuwa pindi nipo nae huwa hapendi niguse sim yake lakini sim yangu kugusa ni lazima,,siku nyingine nilikuwa na mpigia cm ucku inakuwa busy karibu nusu saa,kesho yake nikimuuliza alikuwa anaongea na nani,ananijibu ni alikuwa anaongea na kaka yake,,Siku 1 nilichukua cm yake kinguvu na kuanza kupekua kila kona,,,,
Niliyoyakuta yaliniumiza..!!!
Nilikuta msgs ambazo zilinitia uchungu sana pamoja na audio za sauti yakike ya kimahaba,,
Nilipomuliza akasema ni x girlfriend wake..!!,alijarbu kuniomba msamaha lakin ckumwelewa,,!!
Nmeamua kukaa kimya ingawa anaomba radh sana..
Jamanii naomba ushauri wenu ni msamehe au niendelee kuwa naye huku nikimpima matendo yake,,!!!
NIPO NJIA PANDA
 
Upo njia panda ya kwenda wapi binti...mimi wala sidhani kama upo njia panda...
Hadi sasa wewe ndiye mwenye uamuzi wa kusuka ama kunyoa...kuendelea ama kuacha.
Labda ngoja nikufumbue macho, kwa namna hali yenu ilipofikia wewe ndiye uliyeshikili hatma ya mahusiano yenu...
Ushauri wangu ni kwamba mkalishe huyo mwanaume, mwambie kuwa umemsamehe lakini hutarajii kuwa naye tena pamoja...ongea kwa kifupi sana na wala usimpe nafasi ya kujieleza.
Ukishafanya hivyo kata mawasiliano kabisa...hii itamuonesha kuwa hutetereshwi na itajenga thamani yako kwake.
Najua kama ni mwanaume akupendaye atajuta na kukuomba msamaha hadi ahakikishe mmekuwa pamoja tena....lakini kama huna thamani kwake atajifaragua kwa kuomba msamaha kwa muda fulani tu.
 
Mimi ni binti,nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana na mimi kufahamika kwao,,tatizo lilikuwa pindi nipo nae huwa hapendi niguse sim yake lakini sim yangu kugusa ni lazima,,siku nyingine nilikuwa na mpigia cm ucku inakuwa busy karibu nusu saa,kesho yake nikimuuliza alikuwa anaongea na nani,ananijibu ni alikuwa anaongea na kaka yake,,Siku 1 nilichukua cm yake kinguvu na kuanza kupekua kila kona,,,,
Niliyoyakuta yaliniumiza..!!!
Nilikuta msgs ambazo zilinitia uchungu sana pamoja na audio za sauti yakike ya kimahaba,,
Nilipomuliza akasema ni x girlfriend wake..!!,alijarbu kuniomba msamaha lakin ckumwelewa,,!!
Nmeamua kukaa kimya ingawa anaomba radh sana..
Jamanii naomba ushauri wenu ni msamehe au niendelee kuwa naye huku nikimpima matendo yake,,!!!
NIPO NJIA PANDA

umeshika mpini mamaa na yeye makali xo ni uamuzi wako kuvuta au kuacha,fanya uamuzi sahihi na panapostahili kumbuka wanaume wengi ni pretender xo kuwa makini katika maamuzi yako....!!!!!
 
Sawa,nimekuelewa Young K...!!
Wanaume wanamaudhi sana
 
Huyo ni laghai anajishtukizia MWIZI SIKU ZOTE HUOGOPA KUIBIWA... kwasababu yeye tayari anafanya madudu yake ana wasiwasi na wewe upo kama yeye.Ushauri HAKUFAI...
 
huyo ni butterfly hatokaa atulie..chukua hatua mapema kabla hujachelewa kumbuka umri haurudi nyuma unakwendaga mbele tu!
 
Mzushi huyo.........muite na umueleze kuwa umemsamehe lakin moyo wako umekinai.
 
Mzushi huyo.........muite na umueleze kuwa umemsamehe lakin moyo wako umekinai.
 
Jinsia zote zina maudhi bi dada...Pole sana, fuata ushauri uliopewa tafakari na kisha chukua hatua madhubuti.


Sawa,nimekuelewa Young K...!!
Wanaume wanamaudhi sana
 
Jamani sijui ni hasira,maana hata sitamani kumwona wala kusikia sauti yake,,ingawa anajitaidi kuomba samahani nakutuma baadhi ya ndugu zake kumwombea samahani
 
Back
Top Bottom