Naomba ushauri wenu

Keben

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
725
173
Wakubwa nahitaji gari, naomba mnishauri aina ya gari inayonifaa. Budget yangu ni mil12. Sifa ya gari niwe naweza kusafiri nayo kutoka Mwanza- Arusha angalau mara mbili kwa mwaka (iwe na uwezo huo), isiyozidi cc 2000, upatikanaji wa spare uwe mrahisi, isiwe chini sana maana kule kwetu kuna milima na mabonde na wakati wa mvua ardhi ni telezi
Natanguliza shukrani
 
Wakubwa nahitaji gari, naomba mnishauri aina ya gari inayonifaa. Budget yangu ni mil12. Sifa ya gari niwe naweza kusafiri nayo kutoka Mwanza- Arusha angalau mara mbili kwa mwaka (iwe na uwezo huo), isiyozidi cc 2000, upatikanaji wa spare uwe mrahisi.
Natanguliza shukrani
Nissan xtrail kama utaipenda
 
Toyota Carina TI hii ni very economy fuel consumption utaitumia hadi utakasarika kwanini haichoki, hata Toyota Noah Town Ace sio mbaya kwa masafa marefu!
 
Kiongozi nimeedit post yangu, nimeongeza sifa moja ya kuwa isiwe chini sana maana kule kwetu kuna utelezi wakati wa mvua na kuna milima na mabonde. Asante
 
Kwa ushauri mdogo tu,,chukua toyota alex,nzuri sana,kuanzia ndani mpaka nje,mafuta inakunywa mpaka km 16/l,engine ndogo na kwa mfumo wa sasa waweza toka mwanza dar bila kupumzika popote na kesho yake ukarud bila shida,spare part zipo zakutosha,.kina show nzur sana,mi nilichukua 10m ,
32c3e6bd6121cd9f5f000b2c70254c04.jpg
6b32583b5caad966b5503bd45f69b5d8.jpg
 
Kwa ushauri mdogo tu,,chukua toyota alex,nzuri sana,kuanzia ndani mpaka nje,mafuta inakunywa mpaka km 16/l,engine ndogo na kwa mfumo wa sasa waweza toka mwanza dar bila kupumzika popote na kesho yake ukarud bila shida,spare part zipo zakutosha,.kina show nzur sana,mi nilichukua 10m ,
32c3e6bd6121cd9f5f000b2c70254c04.jpg
6b32583b5caad966b5503bd45f69b5d8.jpg
naweza kukuunga mkono. nina runx 1.5L yapata mwaka sasa sijawahi juta. uwa naenda safari ndefu sometimes, na haisumbui na mjini hapa hainisumbui mafuta na very cheap services and maintenance.

vvti engine 1NZFE

Edit: RUNX ni Side Kick wa Allex
 
Back
Top Bottom