Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Too general DA, wa2 wa namna hiyo wapo na huko CTC anako chukua dawa huyo dada huduma ya ushauri wa namna ya kuishi wenza wenye HIV status walonazo ipo, hivo wai2mie, kizuri zaidi ni kuwa hata mwenzie kaacha kujinyanyapaa amini wakizingatia wataish maisha ya amani!.KUNA IMPROVEMENT KUBWA MNO KTK HIV MANAGEMENT TOFAUTI NA HAPO AWALI SEMA TU JAMII NDO HAIJAELIMIKA VYA KUTOSHA NDO MAANA INAKUWA NGUMU KU2MIA HIZO HUDUMA ZILIZO TAYARI. Kwakifupi waende wote ctc kuna msaada mkubwa tu.
Naona sijaeleweka mie nimesema swala la mwanaume kukubali kiulani bila kuhoji ndo issue iliyonichanganya.
Hizo ndoa za positive na negative mbona nyingi tu na tunawapa ushauri jinsi ya kuishi bila kuambukizana???
VCT au CTC???