frank lujaju
Member
- Aug 21, 2011
- 58
- 4
- Thread starter
- #21
kwa lipi sasa acha mambo yako,kisa kupendwa acha zako>Kindimbajuu
Muache asome kwanza huyo wala future yake hajaiona.Kidato cha sita
mkuu miezi nane yote we hujawahi kusex naye....umejitahidi hayseok nikweli juu ya ulisemalo,lakini huyu mpya nampenda sana dats y namueleza kila kitu kuhusu wa zamani ila baadae isionekana nilikuwa namzunguka.Ebwana MUNGU sikuwa kikongo kwa huyo wa zamani nilikuwa na malengo naye,hatukuwahi kusex kwa kipindi chote tulipo kuwa kwenye mahusiano,licha ya kwamba nilikuwa nikimgusia na anatoa nje,coz nilikuwa na malengo naye nikawa napotezea,kwao nilienda na kwetu kaja u daaaaaah inauma lakini muda alionipotezea jamani na mambo niliyomfanyia aisee
hakikisha anamalizaKidato cha sita
Kidato cha sita
ok nikweli juu ya ulisemalo,lakini huyu mpya nampenda sana dats y namueleza kila kitu kuhusu wa zamani ila baadae isionekana nilikuwa namzunguka.Ebwana MUNGU sikuwa kingono kwa huyo wa zamani nilikuwa na malengo naye,hatukuwahi kusex kwa kipindi chote tulipo kuwa kwenye mahusiano,licha ya kwamba nilikuwa nikimgusia na anatoa nje,coz nilikuwa na malengo naye nikawa napotezea,kwao nilienda na kwetu kaja u daaaaaah inauma lakini muda alionipotezea jamani na mambo niliyomfanyia aisee
mweleze ukweli wa mambo...usije ukajiharibia bure kwa mpenzi wako mpya.
Upo?Shem mzima lakini?Haututendei haki kupotea muda mrefu hivyo!