Naomba ushauri wenu ndugu zanguni

Sio kila akufuzae husema ONDOKA!!Mtu mwenyewe ameshakwambia kabisa kwamba baada ya muda atakufukuza sasa unasubiri nini?!

Amini usiamini...kuondoka mwenyewe ni bora kwa afya ya akili yako kuliko kufukuzwa kama vile sio binadamu!!Umeshaona hapo hupati amani/furaha wala mapenzi achana napo mama..
 
Kwa anavyokutesa hivyo,anajiandaa kukua,mbona unaishi na mtu asikupenda ondoka bibi unaishi jehanam hapa hapa duniani.
 
Unahitaji utulivu wa akili na mwongozo wa mwenyezi mungu kupitia maombi katika kulitatua hili tatizo.sijui wewe ni dani gani ila nakushauri ufanye maombi maalumu sambamba na kufunga ndani ya siku hizo za maombi na nakuhakikishia mungu atakujibu.kumbuka huyo ni mume na si hawara wala mchumba ama mpenzi na umeshazaa nae watoto watatu hivyo si jambo dogo la kulitolea maamuzi kirahisi na isoteshe umeshakaa nae miaka sita!ingawa hujasema ameanza kukutesa lini huo mimi ndio ushauri wangu!
 
duh!!polee...huyo mwanaume wako inaonekana una mpenda kupitilizaa,yani wee kakuzalishaa watatu,kichapoo ana kupaa,nyumbanii halalii,tenaa kichechee mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.ungekuwaa dadaa angu ninge kushushia kichapo nikurudishe home na wajombaa zangu nileee.ukionaa vipi mkorongeee sumuuuu afe
<br />
<br />
Sasa huo wakumkorogea sumu ni ushauri au ni matope? Akisha muua yeye anaenda wapi? Hebu 2mpe mwenzetu ushauri wa maana..
 
mimi nina mume wangu niko nae leo miaka sita na nimezaa nae watoto watatu lakini tatizo ni kwamba mume ananitesa sana ananipiga hata nikiwa na mimba ya miezi 8,na pili ni malaya sana anaenda nje kila siku anabadilisha wanawake analala nje siku zingine ndani hakai hata kukaa na mimi kuongea hana mda yeye anakuja humu ndani kama gesti analala masaa 4 tu nakuondoka ananiambia mie mfanyakazi tu wa kulea watoto wakiwa wakubwa atawachukua na mie kuniacha,naomba mnipe ushauri nifanyeje niendelee kuvumilia mateso au...??

Dada umekalia bomu la Nuklia huku ukiwa unatabasamu!.. Labda tu kama nia yako ni kujitoa muhanga kama alqaida..unatakiwa ufanye maamuzi ya haraka sana!

Kwanza okoa maisha yako na ya watoto wako... Tafuta wakili wa sheria na pata haki za kisheria za malezi ya watoto... Usiogope kulea watoto peke yako.. Amini Mungu yuko na atakusadia wakati wa dhiki.. sio kwa kukupa hela ila kukupa Moyo mgumu na uvumilivu na njia za kupona machungu...

Haina haja ya kupiga kelele kwa ndugu na jamaa haitakusaidia..Fanya yote wewe mwenyewe..
 
mimi nina mume wangu niko nae leo miaka sita na nimezaa nae watoto watatu lakini tatizo ni kwamba mume ananitesa sana ananipiga hata nikiwa na mimba ya miezi 8,na pili ni malaya sana anaenda nje kila siku anabadilisha wanawake analala nje siku zingine ndani hakai hata kukaa na mimi kuongea hana mda yeye anakuja humu ndani kama gesti analala masaa 4 tu nakuondoka ananiambia mie mfanyakazi tu wa kulea watoto wakiwa wakubwa atawachukua na mie kuniacha,naomba mnipe ushauri nifanyeje niendelee kuvumilia mateso au...??
<br />
<br />
Think twice, atakuletea magonjwa ndani!
 
mimi nina mume wangu niko nae leo miaka sita na nimezaa nae watoto watatu lakini tatizo ni kwamba mume ananitesa sana ananipiga hata nikiwa na mimba ya miezi 8,na pili ni malaya sana anaenda nje kila siku anabadilisha wanawake analala nje siku zingine ndani hakai hata kukaa na mimi kuongea hana mda yeye anakuja humu ndani kama gesti analala masaa 4 tu nakuondoka ananiambia mie mfanyakazi tu wa kulea watoto wakiwa wakubwa atawachukua na mie kuniacha,naomba mnipe ushauri nifanyeje niendelee kuvumilia mateso au...??

je mateso hayo yameanza wakati gani na nini hasa chanzo cha yote au mabadiliko??? katika hayo mabadiliko ulihusisha watu kujaribu kumrekebisha??? suala la ndoa na maamuzi kwenye ndoa hayataki haraka ... suala la luongea mume na mke ni la wote si kwamba mme arudi akusemeshe tu na wewe unatakiwa umsemeshe na umjue ni wakati upi wa kuongelea hiki na kile... jaribu kuwafikiria watoto kwa malezi ya one side si mazuri sana
 
mimi nina mume wangu niko nae leo miaka sita na nimezaa nae watoto watatu lakini tatizo ni kwamba mume ananitesa sana ananipiga hata nikiwa na mimba ya miezi 8,na pili ni malaya sana anaenda nje kila siku anabadilisha wanawake analala nje siku zingine ndani hakai hata kukaa na mimi kuongea hana mda yeye anakuja humu ndani kama gesti analala masaa 4 tu nakuondoka ananiambia mie mfanyakazi tu wa kulea watoto wakiwa wakubwa atawachukua na mie kuniacha,naomba mnipe ushauri nifanyeje niendelee kuvumilia mateso au...??

Mmh! Ukisikia ndoa ndoano ndio hiyo dada.

Nikuulize kwani huna kwenu dadangu, hebu jiondokee zako anakuzeesha huyo mwisho wa siku atakuacha hata hutamaniki na mbaya zaidi ameshakuambia kwamba atakuja akuache, sasa unasubiri nini, au unasubiri akuletee na ukimwi ndo uondoke, sepa mwenzangu anaejua kesho yako ni Mungu peke yake
 
Back
Top Bottom