Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Sio kila akufuzae husema ONDOKA!!Mtu mwenyewe ameshakwambia kabisa kwamba baada ya muda atakufukuza sasa unasubiri nini?!
Amini usiamini...kuondoka mwenyewe ni bora kwa afya ya akili yako kuliko kufukuzwa kama vile sio binadamu!!Umeshaona hapo hupati amani/furaha wala mapenzi achana napo mama..
Amini usiamini...kuondoka mwenyewe ni bora kwa afya ya akili yako kuliko kufukuzwa kama vile sio binadamu!!Umeshaona hapo hupati amani/furaha wala mapenzi achana napo mama..