Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
True story iliyonitokea jana.
Soma na toa ushauri wako mwanaJF
Nikiwa nimejituliza kuvulini huku nikiongea na marafiki zangu; alinijia binti mrembo akavuka kiti na kukaa karibu yangu kama vile ananifahamu. Tulikatisha maongezi na kumtazama. Binti aliuliza hivi Samahani nimeambiwa kwenye meza hii kuna mtu anaitwa Muggy Rafiki yangu akamuuliza kama anamfahamu, binti akajibu kuwa simfahamu, rafiki yangu akamuuliza ulikuwa na shida gani naye? Binti akajibu kuwa ni kwa wema tu. Nikamweleza kuwa ndo mimi, binti akaniomba niongee nay eye pembeni. Nikamwambia kuwa aongelee hapo mezani kwani hawa ni marafiki zangu na chochote atakachonieleza nitawaeleza na wao.. haya ndo yalikuwa maneno ya binti huyo.
Samahani kama nitakukwaza, naomba umkataze mke wako ahachane na mume wangu, amekuwa akitembea naye kwa muda mrefu, nimemfata na kumkanya akanijibu kuwa mume wangu alimfata mwenyewe hivyo wa kuthibiti ni mume wangu
Nikamuuliza nataka mimi nimsaidieje; akasema ananiomba nitumie busara kubwa kusuruhisha hali hiyo.
Nikamuaga;
Angekuwa wewe ungechukua hatua gani?
Soma na toa ushauri wako mwanaJF
Nikiwa nimejituliza kuvulini huku nikiongea na marafiki zangu; alinijia binti mrembo akavuka kiti na kukaa karibu yangu kama vile ananifahamu. Tulikatisha maongezi na kumtazama. Binti aliuliza hivi Samahani nimeambiwa kwenye meza hii kuna mtu anaitwa Muggy Rafiki yangu akamuuliza kama anamfahamu, binti akajibu kuwa simfahamu, rafiki yangu akamuuliza ulikuwa na shida gani naye? Binti akajibu kuwa ni kwa wema tu. Nikamweleza kuwa ndo mimi, binti akaniomba niongee nay eye pembeni. Nikamwambia kuwa aongelee hapo mezani kwani hawa ni marafiki zangu na chochote atakachonieleza nitawaeleza na wao.. haya ndo yalikuwa maneno ya binti huyo.
Samahani kama nitakukwaza, naomba umkataze mke wako ahachane na mume wangu, amekuwa akitembea naye kwa muda mrefu, nimemfata na kumkanya akanijibu kuwa mume wangu alimfata mwenyewe hivyo wa kuthibiti ni mume wangu
Nikamuuliza nataka mimi nimsaidieje; akasema ananiomba nitumie busara kubwa kusuruhisha hali hiyo.
Nikamuaga;
Angekuwa wewe ungechukua hatua gani?