Naomba ushauri wako rafiki....

Naomba ushauri wako rafiki....

Fuatilia ndugu usione shida . Hii itakusaidia kuujua ukweli na pia utajua kwanini yote hayo yanafanyika then utawasaidia wengine watakaopatwa na mkasa kama wako. Usiogope , ukiujua ukweli utakuweka huru even in future hautatumia hili tukio kama reference endapo utamkuta mkeo na kosa la jinsi hii otherwise utageneralize tu na kusema ndio maana kipindi fulani ulisemwa hivi , wakati huenda tukio unalo refer halikua la kweli.

Nashukuru; nitaendelea kufuatilia ili niujue ukweli wa mambo.
 
Kuna mwanamke tunaheshimiana sana kwa sababu nilimsaidia mme wake kupata kazi nzuri. Majirani wakaanza kumwambia mme wa huyo mwanamke kwamba nina mahusiano naye ya kimwili. Uvumi huo uliposhindikana (kwa kuwa mume wa huyo mwanamke tulikuwa tunaheshimiana sana) ndo wakamwambia huyo mwanamke kuwa tunajifanya wajanja sasa wataamia upande wa pili (wakimaanisha kwangu). Sijui nimeeleweka au?

yah umeeleweka.
 
Back
Top Bottom