ukitaka kufanikiwa kitu usiwe na papara, lazima uwe na subira, na umuombe sana Mungu akuondoshee maumivu ya Moyo , na akupe hekima ili uweze kulikabili jambo kama hilo. Mimi niliambiwa Mr wangu ana mwanamke na wamezaa, basi sikuwa na papara, nilimtafuta mpk nikampata, nikahakikisha nimemchukua mtoto, Mr anarudi home anamkuta yule mtoto yupo home anacheza nawenzie, kidogo azimie, alishindwa kuuliza wala kusema chochote akaishia kubwaga mizigo na kuondoka, mm sijui alienda wapi aliporudi akataka kuanza kunihadithia nikamkatiza kuwa sitaki maelezo. mpk leo namlea mm na kama atakwenda tena nitaomba talaka. maana ujinga wakati wa kwenda tu kurudi huulizi njia.