gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Naamini umenipata vyema!
Maswali mengi yaligonga kichwani mwangu na sijapata majibu!
Je huyo binti alitaka na mimi nilianzishe kwake?
Je! kuna mtu anataka kuharibu ndoa yangu kwa uzushi huo?
Je! ni kweli mke wangu anatembea na huyo bwana?
hahahhahahhahah! watoto wa mujini bana kaaaz kweli kweli.
uspate hofu na mkeo wala hakucheat ila hiyo ni stail ya mjini kwamba BORA TUKOSE SOTE KWA NINI BANA??
tena kama unajitahd kutoka na mkeo, ukampiga pamba akanoga, home kwako amani full mkeo tabasamu kila uchwao basi jua VIJOKA VYA MDIMU HAVIKOSEKANI, yaani wao ingawa hawali ndimu lkn sharti na mchumaji asiile. hawa ni ndo MAFISADI KIWEMBE, kutwa kuchwa kufisadisha penzi la wenzao.
my take: ongea na mkeo mpe caution kwamba anawindwa and that kama anamarafiki ambao hawaaminiki awapotezee, istoshe mwambie asigombane na watu kama ni mtu mgomvi. abadilishe saluni anakotengeneza nywele na eneo analopenda kutoka kupata moja baridi.