Naomba ushauri wako kuhusu wembamba nilionao

Naomba ushauri wako kuhusu wembamba nilionao

Kuna ambao wamejaa yaan mwili wa mazoezii hawana vitambi,pia kuna ambao hawanywi pombeee

Gud lukin ya mwli ni zur... bt watu weng wavivu hawafny mazoez.... m naenda gym since high School... mpaka leo, my frndz weng wanataman sana niwatrain bt wavivu.. na hawaipend miili yao
 
Sikuiz watu wanatafta papuchi kwa style nyingi duuu...
 
Wengine wanamaliza mamilion ya ya pesa kutafuta umbo lako. Angalia umbo alilokuwa nalo Mustapha Hassanali kabla hajaingia gharama kuwa na umbo la sasa.
 
Ukijikubali mwenyew hta manyokanyoka wengine wakisema unawaona mambululaaa,cha msingi jikubali mwenyew na jione wew ni wa thamani sana katika hii dunia
 
Mkuu Dangerm, waliotangulia i.e Eiyer Nyani Ngabu ,wameelezea vizuri sana, kwa kuongezea tu, there is a saying that goes " Accept no one's definition of yourself & ur life, define yourself" , let this saying guide u along the way.
 
Last edited by a moderator:
wadau mm nina miaka 22 urefu wa cm 177 kilo 55 vipi uwiano huu upo sawa coz pia mm ni mwembamba duniani naweza kushika nafasi ya tatu kwa wembamba

binafsi mm watu hawanishangai wembamba bali urefu..

naomba ushauri km uwiano wa umri, urefu na uzito km vinalandana
 
Back
Top Bottom