Naomba ushauri wako kuhusu wembamba nilionao

Naomba ushauri wako kuhusu wembamba nilionao

Vipi kuhusu nanihii maana nijuavyo mimi watu wembamba ni balaa hasa urefu wa chini si chini ya inchi 6.5,NALOG OFF
 
Kula kitimoto na bia 3 dairy then baada ya mwezi utajishangaa!
 
Wee huyu apate kibonge awe anaelea bana sasa kipotabo si wataumizana na hiyo mifupa

Hahahaaa....umenikumbusha mbali....kuna couple moja hiyo demu bongeeee, kajamaa kembambaaaa....shurti wanabalance equation....
 
..duh...very observant. .

Tuwekee picha jaman ya wanaume waliojaa jaa wastani,kwenye swala la kujamba inategemeana na mtu kwanza kujamba ni mfumo wa kutoa hewa chafu mwilinii
 
Hahahahahaaa.. Interesting!!!! ngoja Bongez waje!!!!
kaa hivyo hivyo wala usijibadilishe, wembamba ndiyo deal siku hizi. .....hao wanaokucheka watakuwa na mavitambi yao so wanajifariji tu. wembamba wa reli na gari moshi linapita. tena ukiwa mwembamba ndo dushee linakuwa na size ya kutosha, ukiongeza kitambi tu na dushee itasinyaa...tupo wanawake wengi tunapenda wanaume wembamba kwanza hawajambi jambi ovyo....
 
Kila kitu kinaanza na wewe mwenyewe, Jitambue na Ujiamini wengine watafwata.
 
gonga bia na kitimoto alafu mwezi mmoja ukifika njoo ulete feedback hapa.
 
Ahahahah we jamaa mwoga kweli.. Hujiamin ht kidogo bora ht ungezaliwa jike
 
Unakuta hiki kijamaa hakilagi tokea akiwa mdogo analazimishwa kula mwenyewe anashinda kwenye computer game muda wote halafu huwa kulala ni sasa 8 za usiku kila siku sasa mtu ukishaanza kula kwa extreem lazima uwekembamba.. Namshauri aanze kwenda gym nakula nyama na castle za baridi atakuja tu kwenye ubig
 
Jiamini mdogo wangu, usipoweza kujiamini hutoweza kufanya lolote.

Usisikilize ya watu wewe jikubali kwa vile ulivyo, hao wanaokughasi na maneno fanya yanaingilia sikio la kushoto kisha yanachomozea sikio la upande wa kulia.

Hata ungekuwa nazo hizo sifa wanazozitaka wao bado wasingekosa cha kusema kwa jinsi watu wanavopenda kusema. Mfano ukiwa mnene watasema, mwembamba watasema, mrefu watasema, mfupi watasema, usipopenda kula watasema, ukiwa unapenda kula watasema.

Hakuna utakachofanya hapa ulimwenguni ukakubalika na watu wote, kuna wataokukubali na kuna ambao hawatokukubali ambapo kwa mimi hapo nasema ni kawaida kwa sisi binadamu(tunayo kasoro hiyo).

Cha kufanya jiangalie wewe kama wewe achana na watu waseme, watasema itafikia muda watakuwa hawana cha zaidi watatulia
 
Back
Top Bottom