Naomba ushauri wa water pump ambayo ni bora

Naomba ushauri wa water pump ambayo ni bora

the big fish

Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
60
Reaction score
93
Wanajamvi habari za majukumu.

Nataka kuanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji wa mazao mbali mbali sasa nipo katika kufanya utafiti wa kutafuta pampu nzuri na bora kwaajili ya kazi twaja hapo juu

Nmekuja kwenu wana JF ili mnipe ushauri wa pampu ipi bora

Kwa vigezo hivi
Iwe inchi 4
Iwe ya diesel
Iwe na uwezo wa kusukuma maji angalau mita 500

N:B jiografia ya eneo ulipo mradi sio miinuko sana eneo kubwa ni tambalale
Natanguliza shukrani
 
Mkuu tafuta mashine zile za kusaga then nenda Alibaba / AliExpress angalia kinu cha kusukuma maji oda mzigo....
 
Back
Top Bottom