Innocent Citizen
Member
- Jul 14, 2021
- 42
- 74
Wakuu nipo Mbioni kutafuta ka usafiri, Sasa nimekuja hapa ili mnipe uzoefu wa Credible show room inayouza magari mazuri dar na inaaminika
Suala la kusubiri kwa watu wengi wanaoenda kumiliki gari la kwanza ni changamoto.Kwa nn usiagize tu ukawa na subira
Mala mia aende Janjapaninternational walio mpa mrembo wetu Mercedez C classHakuna. Inayoaminika.
wote mkiagiza si mtawaua njaa wauza magari wa humu ndani mkuu 😅😅😅Kwa nn usiagize tu ukawa na subira