Nina kijana amebalance vizuri kwenye matokeo yake ya kidato cha nne masomo ya sayansi.
yeye anataka kufanya PCM ila mimi nilikuwa namshauri afanyePCB ana B+ ya Maths,physics,chemistry, biology.na masomo mengine ana B.
wanajanvi naomba msaada wenu katika hili.
yeye anataka kufanya PCM ila mimi nilikuwa namshauri afanyePCB ana B+ ya Maths,physics,chemistry, biology.na masomo mengine ana B.
wanajanvi naomba msaada wenu katika hili.