Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,547
- 9,700
Habarini wanajukwaa
Wakubwa naomba msaada wa kimawazo kuhusu chuo
Naomba mawazo yenu natamani kwenda kusoma kozi ya chemical engineering au nisome production and operation management pale mzumbe wakubwa naomba mchango wenu wa hizi kozi ni nzuri au nipige chini. Na naomba ushauri wa kozi nyingine nzuri.
Nimesoma PCB nina two ya 12 nina D flat na bam na GS ni E zote msaada wenu tafadhali.
Wakubwa naomba msaada wa kimawazo kuhusu chuo
Naomba mawazo yenu natamani kwenda kusoma kozi ya chemical engineering au nisome production and operation management pale mzumbe wakubwa naomba mchango wenu wa hizi kozi ni nzuri au nipige chini. Na naomba ushauri wa kozi nyingine nzuri.
Nimesoma PCB nina two ya 12 nina D flat na bam na GS ni E zote msaada wenu tafadhali.