Hii kozi naielewa sana,sema miaka miwili na haya majukumu daahUmeme wa magari naiona ina fursa nyingi ya kuajiriwa ama kujiajiri sababu sasa hivi gari nyingi ni za Automatiki.
Kwahiyo fursa hiyo kwa vijana
Unaweza ukasoma hata masomo ya jioniHii kozi naielewa sana,sema miaka miwili na haya majukumu daah
Hivi VETA wana masomo ya jioni?Unaweza ukasoma hata masomo ya jioni