officialstawa
Member
- Sep 30, 2016
- 95
- 18
jamani naombeni ushauri nifanyaje mana tcu wamesema kuaply tena mpk mwakani
sikuomba kutokana na sababu flani sa nkataka kuomba thrd round wamesema awaruhusu new aplicantKwan hukuomba
asante nashukuruPolee ndugu nadhani iko ivo
asante kaka anguPole sana dada yangu.
-Kaveli-
asanteePoleee
maombi yote yanapitia tcu so siwezinenda open ila sina uhakika kama wanadahili direct chuoni....
duh pole sana haya yote chanzo mama yet wa wizara.....maombi yote yanapitia tcu so siwezi
Pole sana.jamani naombeni ushauri nifanyaje mana tcu wamesema kuaply tena mpk mwakani
TCu mbona wameruhusu udahili wa mara ya tatujamani naombeni ushauri nifanyaje mana tcu wamesema kuaply tena mpk mwakani
thank youPole sana.
Now focus mambo mengine ya msingi kwa huu mwaka ukiwa na subira.
POLE SANA.
wameruhusu lakn co new aplication n kwa wale waliotemwa first na second roundTCu mbona wameruhusu udahili wa mara ya tatu
haupo ki vp?kwani siku hizi udahili kwa ngazi ya chuo haupo? Ila pole sana