Nana umri wamiaka 24 sasa. Tangu nipo kidato cha nne mwaka 2010 nilianza kupiga punyeto. Kiukweli imeniathiri sana. Ninae mpenzi but nashukuru mungu ninamridhisha vizuri tu. Lakini mm nikitoka hapo naingia bafuni kukamilisha starehe yangu kwa kupiga punyeto.
Naombeni ushauri wadau nifanyaje maana nimechoka mchezo huu mchafu.?
Usiwaze huo mchezo jiweke busy na ukitoka 'kumichana/kugegedana/kubanduana/kungonoka/kunjunjana/kukutanisha vikojoleo' na huyo mpenzi wako Jiwekee nadhiri/jipige marufuku ya kwenda bafuni kupiga selfie/nyeto... Jizoeshe hivyo mara kwa mara na hata ukiwa peke yako usiwaze hayo mawazo machafu
tafuta nyuzi kibao zimo humu...we ingia kwenye hiyo search bar tu hapo juu.halafu andika "punyeto" zitakuja nyuzi kibaooo watu wamemwaga maushauri ya kutosha...hizi nyuzi zishakuwa nyingi sasa mpk zinakifu tn
Madhara yake yakikukuta utaanza jitihada za kuacha. Japo huwa ni ngumu sana kuacha.
Usifanye kila siku. Anza kufanya mara moja kwa wiki, taratibu Mara moja kwa mwezi mwisho utazoea tu.
Paka pilipili mikono hiyo... ukijisahau ukashika dushe mara moja tuu utaacha,,,kuna mambo yanakushawishi kaa mbali nayo i,e porn video,,picha za uchi,, kukaa mwenyew avoids that