Naomba ushauri, nina uvimbe kwenye korodani

Naomba ushauri, nina uvimbe kwenye korodani

Kaka pole hiyo sio thyroids issues ?kama goitre au lump ,itakuwa upungufu madini ya iodine hayo ,nenda hosp upime Thyroid function uone au tafuta hiyo iodine na selenium supplement ule uone ,nakiete phamarcy naona watakuwa nazo
 
Kaka pole hiyo sio thyroids issues ?kama goitre au lump ,itakuwa upungufu madini ya iodine hayo ,nenda hosp upime Thyroid function uone au tafuta hiyo iodine na selenium supplement ule uone ,nakiete phamarcy naona watakuwa nazo
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu zangu,

Naombeni ushauli wenu, Kwenye korodoni zangu pembeni upande wakulia kuna kauvimbe mdogo hauna maumivu lakini jana nilipoamka upande wakulia kiunoni kushuka chini nilipata maumivu japo sio makali yakaida Ila yakaja kupoa, nikaona isiwe shida ngoja leo niende hospitali, nilipoenda hospitali doctor alinikagua na akasema inatakiwa anichane atoe kauvimbe hako. nilishtuka Sana kwanini imekuwa serious hivi.

Nimekuja kwenu kuomba ushauli kwamba siwezi kupata dawa yakutoa huu uvimbe bila kutumia njia hiyo yakuchana?

Na huu ugonjwa unatokana na nini?

Ushauli wenu tafadhali

Asante.


Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kwenda hospital ingine kubwa,usikie watasemaje
Pili huenda huyo dr anataka atoe uvimbe ili auchunguze imetokana na nini
Usijali,punguza wasiwasi kuumwa ni kawaida kwa mwanadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uoga,ushauri wa daktari uliye nae karibu yako uufuate, usichukulie Mambo ki rahisi baadae ukaja juta
 
Picha tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo
IMG_20200306_113037_073.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu zangu,

Naombeni ushauli wenu, Kwenye korodoni zangu pembeni upande wakulia kuna kauvimbe mdogo hauna maumivu lakini jana nilipoamka upande wakulia kiunoni kushuka chini nilipata maumivu japo sio makali yakaida Ila yakaja kupoa, nikaona isiwe shida ngoja leo niende hospitali, nilipoenda hospitali doctor alinikagua na akasema inatakiwa anichane atoe kauvimbe hako. nilishtuka Sana kwanini imekuwa serious hivi.

Nimekuja kwenu kuomba ushauli kwamba siwezi kupata dawa yakutoa huu uvimbe bila kutumia njia hiyo yakuchana?

Na huu ugonjwa unatokana na nini?

Ushauli wenu tafadhali

Asante.


Sent using Jamii Forums mobile app

Inguinal-Scrotal Hernia
Femoral hernia
Aneurysm

Nenda hospitali mzee baba
 
Back
Top Bottom