Naomba ushauri: Nimezaa na dada yangu

ww pusi nini? Kwan jf kunafaida yoyote hapa? Acha undez ww

Mkuu wangu 7 5 mm utawatukana wangapi hapa MMU wanao kereka na habari hizi za kutunga?Use just a common sense kutambua kuwa ulicho andika ni uzushi tu!Krudisha heshima yako hapa ni kuomba radhi tu usamehewe!

Matusi hayatakutoa wewe kwenye aibu hii bali radhi tu ndiyo itakuokoa!Tuombe radhi acha ubishi
 
Last edited by a moderator:

staki sasa
 
Last edited by a moderator:
staki sasa

Mkuu wangu kutokutuomba radhi haututendei haki members wenzako hapa na tutachukulia kama ni dharau kubwa umetuonyesha!

Ndiye huyu huyu mke wako ambaye pia ni dada yako mwezi uliopita alikuwa anastarehe yy tu kitandani tena akiwa na mtoto wa miezi 4 akizaa na ww kaka yake?

Ehehehehe mkuu tuomba radhi bana
 

nakwambia usinitibue ntakuibukia sasa hvi
 
nakwambia usinitibue ntakuibukia sasa hvi

Ndugu yangu 7 5 utatutishia wangapi hapa MMU?Cha kufanya ni kutuomba radhi tu ili andiko hili liondolewe kwenye hansard ya MMU!

Ukituomba radhi utakuwa umethibitisha kuwa uli fabricate habari hii sababu ya kupata ushauri mbaya toka kwa wenzako na nitawaomba washika dau wote wakusamehe na nina imani watakusamehe!!

Tunasubiri radhi yako kamanda
 

punga kweli ww niombe yanini? Kwan lazma ukoment? Kama umeona uwongo kaa kimya. Mbona unabwabwaja sana ww k nn
 

It's not your fault but your father.

Tatizo lililoko kwako Umalaya wako umepelekea kupata mtoto nje ya NDOA. Kama ungefuata taratibu yasingetokea yote hayo. Ila pale tu ulipotaka kujitambulisha.

Kama usingefanya mapenzi nje ya ndoa yote hayo yasingetokea. Ila jifunze siku nyingine sio unabeba mizigo bila kuwa taarifa rasmi za muhusika.

Shame on U.
 
mumuwache mwenzenu!
si kashawaambia yeye ni 75mm
sa mnashindwa kuinkoveti tuu!
cc watu8 tayta
 
Last edited by a moderator:
punga kweli ww niombe yanini? Kwan lazma ukoment? Kama umeona uwongo kaa kimya. Mbona unabwabwaja sana ww k nn

Radhi inatakiwa mkuu ili tusifikishe suala hili kwenye kamati ya maadili ya MMU!Tusifikie huko na nina imani kabisa sasa umepoa,umegundua kosa lako,unajutia kosa lako na utatuomba radhi!

Kuomba radhi sio adhabu ni alama ya uwajibokaji kaka!Tunasubiri
 
punga kweli ww niombe yanini? Kwan lazma ukoment? Kama umeona uwongo kaa kimya. Mbona unabwabwaja sana ww k nn

Mkuu 7.5mm wenzako wanakuwa wanatumia different Id kwa story za kutunga.kama nia yako kuchangamsha jukwaa just use another ID
 
Mtani hebu tafuta pampaz, serelaki na madiko diko mengine tukakaone hako kachanga ka miezi mitano...

Usisahau na bebi shoo jirani

mumuwache mwenzenu!
si kashawaambia yeye ni 75mm
sa mnashindwa kuinkoveti tuu!
cc watu8 tayta
 
Mtani hebu tafuta pampaz, serelaki na madiko diko mengine tukakaone hako kachanga ka miezi mitano...

Usisahau na bebi shoo jirani
hiiiiiilo ndo ulikuwa umesahau kulisema toka jana!
ngoja nipite kwa halima toto,nkanunue beseni kabisa!na bebi woka!
Khantwe si utatusindikiza?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…