Nipo naye kwa mda wa miezi 4 ktk mahusiano ila kila nikifanya naye tendo anaishia kuridhika yeye tu wakat mm nabaki na hamu yangu.
Ni muda wa mwaka mmoja tangu niachane naye.
Nilikuwa na dada mmoja ambaye alikuwa ni mpenzi wangu.
Kwa kipindi chote hicho nilichokuwa naye sikuwahi kumwingia kimwili kwasababu alikuwa anakataa sana kwa lengo la kusubiri mpaka ndoa.....
[h=3]Nilishangazwa sana na huyu mwanamke[/h] Started by 7 5 mm, 21st June 2014 09:25Habar ya mda huu wadau. Moja kwa moja niende kwenye maada. Mkasa huu umenikumba nikiwa nafanya kaz mkoa flani kanda ya kati. Katika eneo ambalo nilikuwa naishi ni karibu na sehem ambayo baba yangu alikuwa anafanyia kazi kabla ya kustaafu na kurudi nymban kwakenamaanisha mkoa alikozaliwa yeye ambao upo kusin nyanda za juu. Wakat baba anastaafu na kurudi mkoa aliozaliwa mm na nikabaki mkoa huohuo aliokuwa anafanya kazi sikuweza kuhama naye kwasababu nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano .
Katika kipindi alichokuwa anafanya kazi kumbe alizaa nje ya ndoa na mwanamke mmoja lakini baba hakuweza kumhudumia yule mtoto kitendo ambacho kilimfanya mama mtoto asimweke karibu na baba.
Hata yeye baba hakuwahi kutuambia kuwa aliwahi kuzaa nje ya ndoa. Katka kipindi chote hicho mama huyo na mwanaye walikuwa wakiishi mbali kidogo na wilaya yetu. Basi katika mizunguko ya kaz hapa na pale nilikutana na dada huyu ambaye ndiye nmezaa naye pasina kujua ni dada yangu. Tulikutana kwenye semina mkoani kilimanjaro kama ilivyo kawaida ya wanaume nikamuaproach yule dada na akaingia line. Tukaanza kujihusisha kimapenz kwa mda wa mwaka mzima mpaka alipopata ujauzito.
Ikanilazimu niukubali ule ujauzito na nikatafuta wazee wa mtaa ninaokaa na kwenda nyumban kwa mwanamke ili kujitambulisha. Yule mama mkwe ambaye ni mama mdogo kihalali alipoona majina yangu matatu akapatwa na wasi wasi japo barua ilipokelewa.
Ikabidi akanitafuta kwa kuniuliza kiundani nilipojieleza ndipo akasema huyu uliympa mimba ni dadayako tena wa damu. Kwakweli niliishiwa nguvu akaanza kunisimlia kila kitu kuhusu baba yangu. Mpaka hapa ninapo andika mwanamke ameshajifungua na mtoto anamiezi 5.
Baba sijamwambia bado ila nataka nmpeleke huyu binti nyumban kwetu. Na hii siri naijua mm na mama mkwe au mama mdogo.
Sijajua nifanyeje mama mwenyew ameshindwa afanye nini, tunaogopa kuwashirikisha watu aibu.
Natumai ni wazima wote popote mlipo.
Bila kuwachosha nikwamba'
Ni muda wa mwaka mmoja tangu niachane naye.
Nilikuwa na dada mmoja ambaye alikuwa ni mpenzi wangu.
Kwa kipindi chote hicho nilichokuwa naye sikuwahi kumwingia kimwili kwasababu alikuwa anakataa sana kwa lengo la kusubiri mpaka ndoa.
Siku moja kulikuwa na sherehe ya harusi nyumbani kwao ikabidi na mimi nishiriki.
Baada ya pirika kuisha kwenye mda wa saa 8 za uski nikatafuta rodge ya kulala kwasababu nisingeweza kurudi nyumban ilikuwa ni usiku sana.
Basi na yeye akaja tukalala wote.
Kama mjuavyo mambo ya giza ni ya shetani tukajikuta tunashawishika na kuvunja amri ya 6.
Kati kati ya gemu nikaanza kuskia harufu ya kinyesi sikujua inatoka wapi, mimi nikazid kumiliki mpira ile nataka kuchange formation ya mchezo nikaona kinyesi makalioni kwake nilishtuka sana.
Nikamuuliza kulikoni?
Akajibu na yeye hajui nikajikuta sina hamu ya tendo tena.
Akajiswafi na tukaendelea na usingizi.
Siku nyingne nikamwomba gemu tena nikakuta ile hali inajirudia tena.
Kiukweli nikapoteza hamu naye kabisa kwasababu kila nikimuuliza anasema na yeye hajui.
Nikaanza kuhisi kuwa atakuwa anapigwa mkia nyuma.
Sasa sijajua hii hali huwa inawatokea hata nyinyi wanawake wengine?
Pole sana Mkuu-makosa anayo baba.Mpeleke dada nyumbani,na mtoto wenu uendelee na maisha.Huyo dada atapata mke mwingine.
Haramu, haramu unaacha kuanzia pale ulipopata ukweli huu
mmmmh! Mpaka sasa namwona kinyaa hata kumsogelea