U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,429 Nov 11, 2011 #41 GodfreyTajiri said: chunga sana, hao wametumwa wakuleweshe ... watu wa inteligensia wanasema hao ni "advance party". shtuka kimbia... Click to expand... Haswaa! mawazo yangu pia hao wameambiwa chukueni hela hizi mniletee mlugaluga mmoja wa kum-cameron,sasa jamaa hajui anakunywa bia za posa/mahari yake bado honeymoon tu hapo na hawa ni ndugu wa bwana harusi hahaha!
GodfreyTajiri said: chunga sana, hao wametumwa wakuleweshe ... watu wa inteligensia wanasema hao ni "advance party". shtuka kimbia... Click to expand... Haswaa! mawazo yangu pia hao wameambiwa chukueni hela hizi mniletee mlugaluga mmoja wa kum-cameron,sasa jamaa hajui anakunywa bia za posa/mahari yake bado honeymoon tu hapo na hawa ni ndugu wa bwana harusi hahaha!
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,974 Reaction score 13,432 Nov 11, 2011 #42 kimbia fasta toka nduki we kimbia. Nalog off