Naomba ushauri, nimeharibu mahali

Kama bint sio mwanafunzi, anza tu kufanya matunzo na maandalizi ya kutunza mtoto, usiuwe mimba huwezi jua huyo kijacho atakuja kuwa na faida gani kwako na kwa taifa letu, usikute ndiye Rais wa Tz mwaka 2070.
 
Back
Top Bottom