Pole sana mzeeYupo kwao kwasasa.
Asubuhi mpaka sasa hujachelewa sana.. Nitafutie nguo ya ndani mliyofutiaWakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.
Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.
Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu.
Heheheh ulifeli sema mtie P2 mapema, nunua hizo mpe harakaNilivyo bwege usiku mzima nilikula mbususu na condom, asubuhi shetani akafanya yake
Chai yenye majani mengi bila sukariNiambie nimpe dawa gani mkuu.
Dorothy huyu huyu shemeji yake gwajima?Huu ndio muda sahihi sasa wa wewe kukaa na huyo binti mumchagulie mtoto wenu jina.
Ushauri wangu;-
Akiwa babygirl muiteni Dorothy
Akiwa mwamba muiteni Mwigulu
Ni ushauri tu mkuu, maamuzi ni yenu. Mnaweza muita hata Nchemba. Hili ni unisex
Mkuu mwulize masapu wako atakupa maelekezoDaaah umenipoteza kidogo p2 ndo nn..ni playstation 2 au...?
Tulia atakuja jitambulisha mwenyewe kwa wazazi wako kama ww ni muhusikaWakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.
Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.
Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu.
Ahaaa sawa mkuuNilichagua mwezi wa 11 maana ndo ntakuwa na likizo ya mda mrefu mkuu.
Unauhakika gani kuwa yupo kwenye siku za hatari??? Au kwavile amesema yeye??Nimefanya nae mapenzi bila kinga akiwa kwenye siku za hatari.
Hongera mzee,acha uoga...Wakuu naomba mnishauri kwa hili tafadhalini sana, nipo chini ya miguu yenu.
Ni hivi kuna binti nimetoka kufanya nae mapenzi asubuhi hii nikajikuta natoa boko bila kujua na binti yupo kwenye siku za hatari.
Ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu.