Role model 9090
Member
- Jan 22, 2021
- 7
- 3
Mimi nimechanguliwa TIA (Human resource) na NIT (Procurement and logistics management)
Naomba ushauri wenu kwa wenye uzoefu ni confirm wapi
Naomba ushauri wenu kwa wenye uzoefu ni confirm wapi
Ningekuwa mimi ningechagua NIT, na sababu ni kwamba siwezi soma HR.Kwanza naangalia namba ya vyuo vinavyotoa hizi kozi za Human Resources ni nyingi.kwahyo kama ni jambo la ajira ujipange kwenye ushindani japo wanasema kila mtu na nyota yake.Procurement and Logistics management inaweza isiwe kozi pendwa lakini binafsi kwa machaguo yako inaweza kukulipa hapo badae.Mimi nimechanguliwa TIA (Human resource) na NIT (Procurement and logistics management)
Naomba ushauri wenu kwa wenye uzoefu ni confirm wapi
Asnte sana kwa ushaur mkuu ntazingatia hilooNenda NIT, hiyo ni fani ya afisa Manunuzi! Tanzania ni nchi inayoendelea hivyo manunuzi huwa hayaishi, alafu ukiwa baadhi ya sehemu wale unakofanya manunuzi unapata bonus kwa kawaungisha...
Asnteee mkuuNingekuwa mimi ningechagua NIT, na sababu ni kwamba siwezi soma HR.Kwanza naangalia namba ya vyuo vinavyotoa hizi kozi za Human Resources ni nyingi...
Mkuu mimi pia nina mtazamo kama wako, nimejaribu kufocus suala ajira baada ya chuo na maruprup ya hapa na pale! Fani ya HR inatolewa na vyuo vingi sana na mpaka sasa ni moja ya fani ilojaza joblee wengi sana mtaani!Ningekuwa mimi ningechagua NIT, na sababu ni kwamba siwezi soma HR.Kwanza naangalia namba ya vyuo vinavyotoa hizi kozi za Human Resources ni nyingi.kwahyo kama ni jambo la ajira ujipange kwenye ushindani japo wanasema kila mtu na nyota yake...
Hata kuwa Hr nayo inalipa,mtu hawezi ajiriwa mpaka hr ahusike tena ukiwa kwenye maviwanda basi kila siku ukiingiza muajirwa mpya unachako mfukoniNenda NIT, hiyo ni fani ya afisa Manunuzi! Tanzania ni nchi inayoendelea hivyo manunuzi huwa hayaishi, alafu ukiwa baadhi ya sehemu wale unakofanya manunuzi unapata bonus kwa kawaungisha...
Sawa ila kwa upande HR anaeyezipata sana ni Boss wa Idara, lakini kwa watu wa manunuzi usijeshangaa ukavuta mgao wa mabati kama kule morogoro!Hata kuwa Hr nayo inalipa,mtu hawezi ajiriwa mpaka hr ahusike tena ukiwa kwenye maviwanda basi kila siku ukiingiza muajirwa mpya unachako mfukoni