Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 1,441
- 3,351
Huyu amechezea miti na anaona KM zimesonga na hakuna dalili za kupata mwanaume wa maana anaamua kujirudisha kwa mwambaNi njaa tu inaonyesha kijana alikua ana jitahidi ku provide ukaleta uchuo chuo sasa usha maliza njaa ina kupiga ume anza kumiss walio kua wana jitokeza kipindi icho una jiona hot.
No, mm bado nakuwaza sana na nimepitia mengi mno ya kuniumiza tangu ulivyoondoka na mpaka sasa sipo sawa kiakili, tafadhali njoo pm tuongee Japo Akili yangu irudi kuwa sawaMimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...
Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..
Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
🤣🤣🤣 anaweza nifaa huyu maana yule binti shetani ashaanza mizinguo mgoja nimsome nione kama anaeeza kuwa mama Tajiri.Tajiri Sina BAYA mwingine huyu hapa,changamka
Baadhi ya wanawake mna Ego sanaaa..!!!..... naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta.....
Achana naye, Move on.Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...
Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..
Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Memories na moments mlizokua nazo before kutengana ndo zinakukill you...Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..
Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...
Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..
Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Duuh [emoji16][emoji16][emoji23]Mzazi ameuza ng'ombe akaenda kusomesha ng'ombe
Una uhakika mkuu?Age go.....
Huna maajabu unataka umrudie nani wakati umechoka enzi uko peak ulimsumbua sana
A lot of women wako Ivo now enzi nipo chuo walikua wanakaa mbali kisa sina chapaa na sio sharobaro baada ya kumaliza unalamba ajila na maisha kuwa safi apo sharobaro kachoka anakuja kukwambia hukuwa serious kipindi kileUna uhakika mkuu?
😅A lot of women wako Ivo now enzi nipo chuo walikua wanakaa mbali kisa sina chapaa na sio sharobaro baada ya kumaliza unalamba ajila na maisha kuwa safi apo sharobaro kachoka anakuja kukwambia hukuwa serious kipindi kile
Finally ya mwanamke ni miaka 30 baada ya apo kwisha.....
Umefunga mada, hakuna jambo jengine linalomletea nfadhaiko na sonona zaidi ya hilo.Mh, tafuta jamaa akazitoe coz zinaonekana zimejaa sana.