EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu wa Mbinguni hakuna laana.
Ndugu yangu anatuhuma za kesi ya KUJERUHI ambayo anasema ye hakuhusika Ila kuna rafiki yake ndiye kahusika.
Kwani wakati tukio linatendeka ye hakuwepo Huko alikuwa wilaya nyingine NDIPO jamaa akachomwa kisu cha mgongoni sasa nduguze wamefungua kesi ambayo itasomwa tarehe 25 mwezi ujao.
Hapa naomba ushauri wa kumsaidia yule ndugu hasa nahitaji ushauri wa kisheria na wa kawaida tu.
Asanteni.
Ndugu yangu anatuhuma za kesi ya KUJERUHI ambayo anasema ye hakuhusika Ila kuna rafiki yake ndiye kahusika.
Kwani wakati tukio linatendeka ye hakuwepo Huko alikuwa wilaya nyingine NDIPO jamaa akachomwa kisu cha mgongoni sasa nduguze wamefungua kesi ambayo itasomwa tarehe 25 mwezi ujao.
Hapa naomba ushauri wa kumsaidia yule ndugu hasa nahitaji ushauri wa kisheria na wa kawaida tu.
Asanteni.