Naomba Ushauri Nataka kununua Smartphone

Naomba Ushauri Nataka kununua Smartphone

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
6,389
Reaction score
8,291

Natarajia kwenda kijijini hivi karibuni, na ningependa niendelee kupata habari za JF kupitia Internet ya simu. Hivyo naomba ushauri ninunue smartphone aina gani ambayo inakaa na chaji kwa muda mrefu. Bei iwe kati ya 200,000/ - 250,000/-
 
Acheni utani. Anaenda kijijini mnamwabia aende na tecno? umeme vipi? maana hayo ma advanced scientific calculator hayakai nacharge kabisa.
Pia Tecno pale penye low network signals haiwezi kustahimili. Nadhani itakua inakuletea magumashi kuingia net.

Kaka Q Man mi nakushauri umcheki Samsung. Kwakua kijijini nadhani tatizo ni umeme na 3G basi Samsung ndio suluhisho. Kama dukani unaweza pata galaxy s1 au version a chini yake. Pia ukimcheki Asha au Lumia sio mbaya, used hiyo pesa unapata nzuri tu.
 
Last edited by a moderator:
Acheni utani. Anaenda kijijini mnamwabia aende na tecno? umeme vipi? maana hayo ma advanced scientific calculator hayakai nacharge kabisa.
Pia Tecno pale penye low network signals haiwezi kustahimili. Nadhani itakua inakuletea magumashi kuingia net.

Kaka Q Man mi nakushauri umcheki Samsung. Kwakua kijijini nadhani tatizo ni umeme na 3G basi Samsung ndio suluhisho. Kama dukani unaweza pata galaxy s1 au version a chini yake. Pia ukimcheki Asha au Lumia sio mbaya, used hiyo pesa unapata nzuri tu.

Asante mkuu kwa ushauri mzuri.
 

Hiyo cm bei yake ni lakini 4.5 hadi 5.mkuu Nina phantom yaani naenjoy sana hivi salsa hatuangalii jima la kampuni nilikiwa na Nokia lumia huduma ya mpesa na huduma za salio hazifanyi kazi na upuuzi mwongine.....sasa nemenumua tecno f7 ni simu nzuro sana.hasikudanganye mtu
 
Mkuu usijaribu kununua Nokia Asha 311, inakula chaji si mchezo. Mi ndio ninayoitumia mpaka sasa hivi.
 
Hiyo cm bei yake ni lakini 4.5 hadi 5.mkuu Nina phantom yaani naenjoy sana hivi salsa hatuangalii jima la kampuni nilikiwa na Nokia lumia huduma ya mpesa na huduma za salio hazifanyi kazi na upuuzi mwongine.....sasa nemenumua tecno f7 ni simu nzuro sana.hasikudanganye mtu

Mkuu mi nko samsung ila phantom wanaisifu sana yaweza kuwa sawa na S3 mini?
 
Mkuu mi nko samsung ila phantom wanaisifu sana yaweza kuwa sawa na S3 mini?

wanahadaika na screen achana nao, 450,000 then mchina wa mediatek na processor za 1ghz

kwa price tag hio unapata simu ambazo ni mara 2 ya hio tecno na jina kubwa
 
kaka kama unaenda kijijini na hakuna umeme mi nakushauri fanya hivi.
1. tenga 50,000 kanunue power bank ambayo ina zaidi ya 5000mah icharge full halafu utatumia kuchajia simu (inaweza charge mara 2 hadi 5 inategemea na aina ya simu)

2. simu nunua kati ya hizi, sony experia E, samsung galaxy discover au huawei ascend y210

3. kwasababu kijijini hakuna 3g hakikisha huna apps zenye njaa kama fb, viber, twitter eka apps nyepesi kama opera mini na im+ ambayo utaitumia kwa social network zako
 
Mkuu mi nko samsung ila phantom wanaisifu sana yaweza kuwa sawa na S3 mini?

Mi sipigi upatu.nakushauri Google then view specifition za f7 A+ utaona kuna tofati ndogo sana na S3 ...ingia Google mkuu.usitapanye pesa kisa jina la simu na mbwembwe ndogo ndogo...sijuti kununua F7 kwa mata ya natumia brand hizi.ni nzuro sana aisee
 
Hiyo cm bei yake ni lakini 4.5 hadi 5.mkuu Nina phantom yaani naenjoy sana hivi salsa hatuangalii jima la kampuni nilikiwa na Nokia lumia huduma ya mpesa na huduma za salio hazifanyi kazi na upuuzi mwongine.....sasa nemenumua tecno f7 ni simu nzuro sana.hasikudanganye mtu

we hyo lumia gan,mbona yang inafanya yote hayo?????
 
Mi nakushauri fuata ushauri wote hapo isipokuwa tecno maana unauziwa mbuzi kwenye gunia. Sorry tecno user's for bursting your wonderful bubble
 
jamani hakuna smartphone inayokaa na chaji ,mm hapa natumia tecno p3 lakini chaji majanga,imenibidi ninunue betri la ziada
 
jamani hakuna smartphone inayokaa na chaji ,mm hapa natumia tecno p3 lakini chaji majanga,imenibidi ninunue betri la ziada

je ukiwasha asubui chaji inaicha saa ngapi ?. Namimi nataka niende p3 mkuu
 
je ukiwasha asubui chaji inaicha saa ngapi ?. Namimi nataka niende p3 mkuu

inategemeana unafanya nini,ukiwa ktk internet betri inaisha haraka sana.kwa matumizi ya kawaida kupiga na kupokea utaifurahiaa
 
we hyo lumia gan,mbona yang inafanya yote hayo?????

Kama ni ile ya windows phone 8 inasupport USSD unawezacheck salio,tumia mpesa,nk. Ila lumia zilizotoka nyuma zinazurun wimdows 7.5 na kushuka ndizo zinazosumbua mambo ya mpesa, salio,nk.
 
Back
Top Bottom