Mkuu hiyo f7 ni habari nyingine inafungua net sijapata kuona,camera inapiga picha hatare !!
S 3 Mini haitii mguu kwani f7 ina processor ya Quad.
Sipati picha mwakani miezi kama hii tecno tutakua tunaongea mengine.
jamani hakuna smartphone inayokaa na chaji ,mm hapa natumia tecno p3 lakini chaji majanga,imenibidi ninunue betri la ziada
Mkuu mi yangu ni Phantom A+ ina cpu ya 1.2 Quad core !!
Natarajia kwenda kijijini hivi karibuni, na ningependa niendelee kupata habari za JF kupitia Internet ya simu. Hivyo naomba ushauri ninunue smartphone aina gani ambayo inakaa na chaji kwa muda mrefu. Bei iwe kati ya 200,000/ - 250,000/-
Kama ni ile ya windows phone 8 inasupport USSD unawezacheck salio,tumia mpesa,nk. Ila lumia zilizotoka nyuma zinazurun wimdows 7.5 na kushuka ndizo zinazosumbua mambo ya mpesa, salio,nk.
Asee nina techno D5 inapiga mzigo ile mbaya...inajitahidi sana kukaa na chaji,still ni cheap xana