hilo ndilo nalolifanya babra..ila ni vile simpend kabisa yaan..yaan simpendPole mkuu Ila pamoja na kumchukia jitahidi kumtunza mpaka atakapojifungua na umlee mwanao
Kama iyo future haikuwepo na n.ye.ge zako ungezizuia zisubiri future yaketatizo ni kwamba sikuwa tayari kuanza future na mwanamke ambaye tayari ana mtoto na mwanaume mwingine na mwanaume huyo akiwa angali hai
Hahahahahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama iyo future haikuwepo na n.ye.ge zako ungezizuia zisubiri future yake
Tena pia sio kila siku. What the hell?Mtoto lazima umpende tu, na usijaribu kumtelekeza cuz utakuja kujuta baadae, msee ile mimba amebeba yeye sio wewe, ww jukumu lako ni kumpa matunzo tu tena pia sio kila siku, so wewe mbona huna mzigo hapo? au tatizo liko wapi?
its a lesson for sure.with thanks.Tena pia sio kila siku. What the hell?
Wewe kuna siku inapita hujala? Hujavaa, hujaoga? Mpaka sio kila siku iapply hapa.
That child is innocent. Hampendani, kimpango wenu. Hamli mkashiba sio kazi yake.
He is supposed to have all his needs catered for regardless of anything. Tear each other into pieces but make sure that innocent child is well taken care of all the days of his life.
N/B. Na iwe funzo kwa mtoa mada na wengine wote ku control tamaa za kimwili.
Better get your affairs right.its a lesson for sure.with thanks.
thanks much..Better get your affairs right.
Be answerable for your actions and remember to respect the woman who bears you child especially since you are certain the baby is yours.
Do not be afraid. You will make an awesome, sweet and loving Daddy.
God Bless.
Kama hukuwa tayari kuzaa na single mother unadhani huyo atakaekuja kumuoa huyo Dada nae atakuwa tayari kulea watoto wawili wa baba tofaut wako huyo mpende tena ikibidi na ndoa ipite kila la khertatizo ni kwamba sikuwa tayari kuanza future na mwanamke ambaye tayari ana mtoto na mwanaume mwingine na mwanaume huyo akiwa angali hai
Kulikoni umelambwa ban tena we mume wa jje's?Mtoto lazima umpende tu, na usijaribu kumtelekeza cuz utakuja kujuta baadae, msee ile mimba amebeba yeye sio wewe, ww jukumu lako ni kumpa matunzo tu tena pia sio kila siku, so wewe mbona huna mzigo hapo? au tatizo liko wapi?
KWA kweli yaani mpitishe na ndoa kabisa ili msizini tenaSasa hayo makusudi mmeyafanya wote, wewe hukutumia mpira na yeye alikuwa siku za hatari mkavuna mlichokipanda.
Hakuna kuchukiana pendaneni kama mwanzo.
Kwani ulivyomtongoza ulimwambia umempenda au umemtamani!!?
tena mumshukuru Mungu mnapata mtoto, je mngepata maradhi?
Nyie ndio mnaosababisha masingle mother wanazidi kuongezeka[emoji19]Habari za jion ndugu na wadau wa jukwaa hili maridhawa..
Nia ya kuandika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya maisha yangu ya sasa ambapo nategemea mtoto na dada mmoja ambaye kiukwel ni bas tuu ila sikuwa na future naye na ni vile tamaa za mwili nikajikuta nimempa mimba..kiukwel kutoa mimba sitaki kufanya hivyo na pia huyu dada amekwishakua na mtoto mmoja tayar na mwingine..swali langu ni je?huyu mtoto hata akizaliwa ntakuwa na mapenzi nae kweli maana hivi sasa sitamani hata hio mimba ajifingue..yaan kiukwel huyu dada namchukia lakin ndio hivyo nisaidien ushauri..
Natanguliza Shukrani.
Muue huyo mwanaume mwingine aliyezaa naye mtoto ili ukae na huyo bintitatizo ni kwamba sikuwa tayari kuanza future na mwanamke ambaye tayari ana mtoto na mwanaume mwingine na mwanaume huyo akiwa angali hai
Una akili nyingi kama chunguMtoto atakaye zaliwa anaweza kuwa "Nyerere, Nelson Mandela, Akawa mtu muhimu sana kwenye maisha hata mkombozi wetu juu ya uchumi na hali ngumu ya kaisha"? Usiizime ndoto ya mafanikio yake mtoto kungali mapema hivi