Naomba ushauri na shahada ya Bsc Math na Physics.je naweza kusoma postgraduate ya engineering yoyote

ntombi

Member
Sep 16, 2016
32
18
Naombeni ushauri wanajamvi.Nimehitimu chuo mwaka 2016 Bsc in science nikimajor Mathematics na Physics.Baada yakuona ajira za ualimu zinazngua nataka nisome Postgraduate ya engineering yoyote.Je mnanishauri nisome engineering ipi ambayo ntapata ajira fasta nikimaliza
 
Nmekwambia hvyo coz nmeangalia postgraduate zote za engineering walizochukua 2015 Na 16 hamna aliyesoma education dats why nmesema hvyo labda kwa upande wa master unaweza fanya hvyo
 
Unaweza kusoma Masters(Postgraduate) hizi hapa, na lazima utoboe kwenye Ajira.
1/Masters of Science in Biostatics.
2/Masters of Science in Statistics.
3/Masters of Science in Mathematics.

*Kwa bachelor yako Hauwezi kusoma Postgraduate yoyote ya Engineering kwa sababu hauna Bachelor ya Engineering.
*Yote kwa yote kwa Bachelor yako uliyonayo sasa bado nafasi ya ajira ya ualimu ni kubwa sana, ni suala la muda tu na kuendelea kusaka michongo.
 
Back
Top Bottom