Ulamaa Hemed
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 159
- 16
Naomba kuwauliza wanachuo hasa wa UDOM VP ikiwa mtu amekosa Mkopo je upo uwezekano wa kujisomesha mwenyewe?.namzungumzia mtoto wa mkulima hukooooo kijijini
Naomba kuwauliza wanachuo hasa wa UDOM VP ikiwa mtu amekosa Mkopo je upo uwezekano wa kujisomesha mwenyewe?.namzungumzia mtoto wa mkulima hukooooo kijijini