Naomba ushauri kwenu ninyi wastaafu

Naomba ushauri kwenu ninyi wastaafu

Nashukuru kwa pongezi zako , Mimi mfuko wangu ni LAPF na hauna hilo sharti unaruhusiwa wakati wowote kustaafu kwa hiyari na kulipwa mafao yako muda wowote kuanzia miaka 55 na kuendelea mpaka 60.
Mkuu ninavyosikia kwa umri huo ile tarehe uliyofikisha miaka 55 ulitakiwa uwe ueshajaza fomu za kustaafu kabisa, lakini sasa hivi kama hizo tarehe zimepita ni lazima usubiri tu tarehe yako ya miaka 60. Huwa wanasema ukivuka tu hiyo 55 hakuna tena nafasi ya kusatafu hapa katikati. Wewe piga kazi tu maana uraiani nako hakufai sana. Kuna jamaa yangu alilipwa mafao milioni 200 na pension ya zaidi ya laki 9 kila mwezi (yeye alikuwa mkuu wa idara), ha! Hata miaka mitano haikuisha akawa kwenye mawe mapaka ikabidi aukimbie mji kwenda kujificha kijijini kwao nasikia siku hizi analima alizeti kwa jembe la mkono. Kustaafu bila mipango ni changamoto sana, ingawa hautafia kazini!! Anza sasa kupangilia mambo yako mpaka hiyo miaka 60 kuwa na nyumba tu haitoshi je, una akili za kusimamia hizo mambo? Maana jamaa yangu huyo alikuwa na alikuwa amejenga, ana mashine ya kukoboa na kusaga, akanunua gari kali ya kwendea kanisani, akanunua hiace 2, akawa anakunywa maji ya chupa (akaachana na maji ya kudownload). Lakini alifirisika mpaka akauza na nyumba! (AKILI KIONGOZI).
 
Mkuu ninavyosikia kwa umri huo ile tarehe uliyofikisha miaka 55 ulitakiwa uwe ueshajaza fomu za kustaafu kabisa, lakini sasa hivi kama hizo tarehe zimepita ni lazima usubiri tu tarehe yako ya miaka 60. Huwa wanasema ukivuka tu hiyo 55 hakuna tena nafasi ya kusatafu hapa katikati. Wewe piga kazi tu maana uraiani nako hakufai sana. Kuna jamaa yangu alilipwa mafao milioni 200 na pension ya zaidi ya laki 9 kila mwezi (yeye alikuwa mkuu wa idara), ha! Hata miaka mitano haikuisha akawa kwenye mawe mapaka ikabidi aukimbie mji kwenda kujificha kijijini kwao nasikia siku hizi analima alizeti kwa jembe la mkono. Kustaafu bila mipango ni changamoto sana, ingawa hautafia kazini!! Anza sasa kupangilia mambo yako mpaka hiyo miaka 60 kuwa na nyumba tu haitoshi je, una akili za kusimamia hizo mambo? Maana jamaa yangu huyo alikuwa na alikuwa amejenga, ana mashine ya kukoboa na kusaga, akanunua gari kali ya kwendea kanisani, akanunua hiace 2, akawa anakunywa maji ya chupa (akaachana na maji ya kudownload). Lakini alifirisika mpaka akauza na nyumba! (AKILI KIONGOZI).
ha ha ha a ha ha a hizi hiace 2 ndio zitakua zimemla hela biashara ya daladala haifai kabisa utatupa pesa tu
 
Wakuu mimi nimefikisha 55 ya ajira yangu serikalini. Naona kama nimechoka na kazi ya ajira na natamani kustaafu mapema shida ni kutojua changamoto za wastaafu.

Mfuko wangu wa akiba ya wastaafu wameniambia nitalipwa milion themanini na tano kwa mkupuo na kila mwezi nitakuwa nalipwa laki nne.

Kwa ujumla tayari nimejenga nyumba ya kuishi niliponunua shamba kijijini kama ekari 30 ,na pia ninazo nyumba kadhaa za nimepangisha mjini.

Hofu yangu inatokana na wenzangu waliostaafu hapa kazini na baadhi yao walikuwa na uwezo mkubwa kazini lakini wanaishi kwa dhiki kubwa na mara kwa mara wanakuja hapa kazini kupiga mzinga utafikiri bado wako kazini.

Kwa mstaafu yeyote mwenye uzofu wa maisha ya ustaafu anipe ushauri kabla sijaamua kuachia ngazi ya ajira
Naona unaanzisha ligi hapa. Sidhan kama una miaka hyo
 
Wakuu mimi nimefikisha 55 ya ajira yangu serikalini. Naona kama nimechoka na kazi ya ajira na natamani kustaafu mapema shida ni kutojua changamoto za wastaafu.

Mfuko wangu wa akiba ya wastaafu wameniambia nitalipwa milion themanini na tano kwa mkupuo na kila mwezi nitakuwa nalipwa laki nne.

Kwa ujumla tayari nimejenga nyumba ya kuishi niliponunua shamba kijijini kama ekari 30 ,na pia ninazo nyumba kadhaa za nimepangisha mjini.

Hofu yangu inatokana na wenzangu waliostaafu hapa kazini na baadhi yao walikuwa na uwezo mkubwa kazini lakini wanaishi kwa dhiki kubwa na mara kwa mara wanakuja hapa kazini kupiga mzinga utafikiri bado wako kazini.

Kwa mstaafu yeyote mwenye uzofu wa maisha ya ustaafu anipe ushauri kabla sijaamua kuachia ngazi ya ajira

Umepewa ushauri mzuri sana humu ndani.
Mwingi umejikita kwenye kitu kimoja. Usipunguze sources zako za income. Wastaafu wengi hukurupukia biashara wasizoziweza au kuzijua ili mradi tu walisikia flani alifanya.

Epuka kufanya biashara ya aina yoyote au kutumia zaidi ya asilimia 20 ya pension yako in one transaction.

Ukishazipata hizo pesa hakikisha kuwa popote utakapoziweka zinazalisha zaidi ya rate ya inflation. Kama inflation ni asilimia 10 na zinazalisha asilimia 5 jua kuziweka kwako huko ni hasara ya asilimia 5 kila mwaka. Namaanisha kuwa baada ya muda utakuwa na sifuri.

Kwa kuwa una miaka mi-5 anza kwa experiment rahisi kwa kutafuta fedha sehemu( unaweza uza hata kitegauchumi kimoja), Ili upate asilimia kumi ya fedha utakazopata kwenye pension. Anzisha mradi au uwekezaji wa hizi fedha wakati bado unafanya kazi., tumia huu uwekezaji kama darasa. ukikushinda wakati bado unakipato kingine, jua kuwa ukistaafu utakushinda mara dufu. Kama ukifanikiwa utajifunza mengi.

Najua huyu bwana vululu vululu amekinai wengi sana, na walio umri wa kukaribia kustaafu wengi wanasubiri tarehe zifike wapumzike. Ila ni vema ukahakikisha kuwa haukurupuki kwenye maamuzi.
 
Naona hawa si wastaafu ndo maana kwani nimetumia lugha gani tofauti au wazee wana maandishi tofauti na vijana ? hata hivyo wakitoa ufafanuzi zaidi litakuwa jambo jema ili nipate kujitambua.
Mkuu, jaribu kubaki kwenye mstari wa bansiko lako.
Hawa watoto wasikuvuruge kwa maneno yao, kwakua tu wana miliki sim za kupusa na wanaweza kuandika lolote, tena hata wakati mwingine tukiwaita (Mkuu)
 
Naona hawa si wastaafu ndo maana kwani nimetumia lugha gani tofauti au wazee wana maandishi tofauti na vijana ? hata hivyo wakitoa ufafanuzi zaidi litakuwa jambo jema ili nipate kujitambua.
Mkuu, jaribu kubaki kwenye mstari wa bansiko lako.
Hawa watoto wasikuvuruge kwa maneno yao, kwakua tu wana miliki sim za kupusa na wanaweza kuandika lolote, tena hata wakati mwingine tukiwaita (Mkuu)
 
ha ha ha a ha ha a hizi hiace 2 ndio zitakua zimemla hela biashara ya daladala haifai kabisa utatupa pesa tu
Mkuu kifinga,, kama ulikuwapo huko kwetu! Hiace zilikuwa hazimalizi trip 2 bila kwenda garage, na zikiienda huko zinalamba hela yote iliyoingia juzi na jana na kudai kutoka mfukoni. Tulimshauri sana kwamba hiyo biashara ni kichaa pale unapochukua Hiace zilizotumika hapa nchini. Jamaa yangu ilibidi aukimbie mji, shemeji yetu naye akawa ni matatizo matupu! Kwa kweli ustaafuni kuna changamoto ila sisi ambao bado ndo tunapata Kozi za bure kwa kuangalia kile wanachokifanya wenzetu!
 
Million themanini na pension ya 400000 kila mwezi si haba .Cha muhimu ujitayarishe mapema kabla ya kupokea hiyo fedha.jaribu kutembelea ofisi za mifuko ya pension utapata ushauri nasaha mzuri.jaribu kujipa muda ili ubuni sehemu ya ku invest..Vizuri wakati ukipata fedha ziweka Fixed account akili yako itulie na wakati huo unapata faida.
Nashukuru kwa ushauri mkuu ubarikiwe sana
 
Hiyo pesa unayolipwa kwa mkupua 10 % fungua ofisi ya kisanii,inayohusiana na kazi uifanyayo.iliyo baki weka Fixed Deposit Account.
Halafu wewe ishi kwa hiyo laki 4 kila mwezi........MUHIMU KULIKO VYOTE.....****Endelea kuamka asubuhi mapema kwenda kwenye kiofisi chako ch kuzugia.

Asante kwa ushauri mkuu hilo nitalizingatia
 
yani mkuu tegemea pm za wadada wa mjini nyingi zenye sio za nchiii hii wakijibebishaa mana siyo kwa upendaji pesa ule
Ha ha ha nimecheka sana mkuu, mimi nimeshazeeka na mke wangu ni binti wa miaka 40 , huyo ananitosha , ila nashukuru kwa tahadhari hiyo.
 
Ml

Mleta uzi, zingatia sana ushauri wa huyu bwana, binafsi nimeupenda. Najua mwili wako (mleta uzi) utakua umechoka but please, ni ushauri mzuri hasa hapo kwenye uwekezaji zaidi.
Asante mkuu kwa ushauri wako, nitauzingatia.
 
Mkuu ninavyosikia kwa umri huo ile tarehe uliyofikisha miaka 55 ulitakiwa uwe ueshajaza fomu za kustaafu kabisa, lakini sasa hivi kama hizo tarehe zimepita ni lazima usubiri tu tarehe yako ya miaka 60. Huwa wanasema ukivuka tu hiyo 55 hakuna tena nafasi ya kusatafu hapa katikati. Wewe piga kazi tu maana uraiani nako hakufai sana. Kuna jamaa yangu alilipwa mafao milioni 200 na pension ya zaidi ya laki 9 kila mwezi (yeye alikuwa mkuu wa idara), ha! Hata miaka mitano haikuisha akawa kwenye mawe mapaka ikabidi aukimbie mji kwenda kujificha kijijini kwao nasikia siku hizi analima alizeti kwa jembe la mkono. Kustaafu bila mipango ni changamoto sana, ingawa hautafia kazini!! Anza sasa kupangilia mambo yako mpaka hiyo miaka 60 kuwa na nyumba tu haitoshi je, una akili za kusimamia hizo mambo? Maana jamaa yangu huyo alikuwa na alikuwa amejenga, ana mashine ya kukoboa na kusaga, akanunua gari kali ya kwendea kanisani, akanunua hiace 2, akawa anakunywa maji ya chupa (akaachana na maji ya kudownload). Lakini alifirisika mpaka akauza na nyumba! (AKILI KIONGOZI).
Nakushukuru saaana mkuu kwa tahadhari hiyo. Mimi pombe sinywi na maisha yangu baada ya kustaafu yatakuwa kijijini na familia yangu tayari iko huko mwaka wa tatu sasa wanalima na kufuga.
 
Mkuu, jaribu kubaki kwenye mstari wa bansiko lako.
Hawa watoto wasikuvuruge kwa maneno yao, kwakua tu wana miliki sim za kupusa na wanaweza kuandika lolote, tena hata wakati mwingine tukiwaita (Mkuu)
umesema kweli mkuu , wengine ila nawapongeza wananipa ushauri mzuri.
 
Umepewa ushauri mzuri sana humu ndani.
Mwingi umejikita kwenye kitu kimoja. Usipunguze sources zako za income. Wastaafu wengi hukurupukia biashara wasizoziweza au kuzijua ili mradi tu walisikia flani alifanya.

Epuka kufanya biashara ya aina yoyote au kutumia zaidi ya asilimia 20 ya pension yako in one transaction.

Ukishazipata hizo pesa hakikisha kuwa popote utakapoziweka zinazalisha zaidi ya rate ya inflation. Kama inflation ni asilimia 10 na zinazalisha asilimia 5 jua kuziweka kwako huko ni hasara ya asilimia 5 kila mwaka. Namaanisha kuwa baada ya muda utakuwa na sifuri.

Kwa kuwa una miaka mi-5 anza kwa experiment rahisi kwa kutafuta fedha sehemu( unaweza uza hata kitegauchumi kimoja), Ili upate asilimia kumi ya fedha utakazopata kwenye pension. Anzisha mradi au uwekezaji wa hizi fedha wakati bado unafanya kazi., tumia huu uwekezaji kama darasa. ukikushinda wakati bado unakipato kingine, jua kuwa ukistaafu utakushinda mara dufu. Kama ukifanikiwa utajifunza mengi.

Najua huyu bwana vululu vululu amekinai wengi sana, na walio umri wa kukaribia kustaafu wengi wanasubiri tarehe zifike wapumzike. Ila ni vema ukahakikisha kuwa haukurupuki kwenye maamuzi.
Poa mkuu ushauri mzuri sana.
 
Kuna ambao sijawaquote sio kama michango yao haina maana ila maoni yao nimeyazingatia kwa dhati.
 
Wakuu mimi nimefikisha 55 ya ajira yangu serikalini. Naona kama nimechoka na kazi ya ajira na natamani kustaafu mapema shida ni kutojua changamoto za wastaafu.

Mfuko wangu wa akiba ya wastaafu wameniambia nitalipwa milion themanini na tano kwa mkupuo na kila mwezi nitakuwa nalipwa laki nne.

Kwa ujumla tayari nimejenga nyumba ya kuishi niliponunua shamba kijijini kama ekari 30 ,na pia ninazo nyumba kadhaa za nimepangisha mjini.

Hofu yangu inatokana na wenzangu waliostaafu hapa kazini na baadhi yao walikuwa na uwezo mkubwa kazini lakini wanaishi kwa dhiki kubwa na mara kwa mara wanakuja hapa kazini kupiga mzinga utafikiri bado wako kazini.

Kwa mstaafu yeyote mwenye uzofu wa maisha ya ustaafu anipe ushauri kabla sijaamua kuachia ngazi ya ajira
shikamoo baba, samahani kwa kuchelewa, ushauri wangu mdogo kabla haujastaafu punguza matumizi yako anza kuishi kwa kutumia laki nne ya mshahara wako ili uzoee hiyo hali, hela nyingine nyumba yako moja ibadili kisheria iwe rorge sijui kama nimepatia spelling, ukimaliza iangalie kwa mwezi inakupa sh. Ngapi hapo ndo ustaafu hicho kitakuwa kijiwe chako kutembelea mara kwa mara, weka vyumba hata kumi tu kila mwaka au miaka miwili unapaka rangi na kufanya matengenezo madogo hii itaifanya ionekane mpya kila siku
 
Back
Top Bottom