Hilo tatizo hata ninalo most inatokea kwa watu wanaotumia mkono au mguu wa kushoto kuplay mpira au kulusha jiwe tiba yake wengiwetu huwa tunakutwa na magonjea ya kulithi mfano kifafa, pumu nk ushauli wa kitaalamu wanasema kaa mbali na vyanzo vya moto pili ukiwa na hasira moyo unakuwa unapiga kasi sana njia zipo nyingi kuzui hii kitokea mara kwa mara