Harathony
Senior Member
- Oct 22, 2014
- 179
- 156
Habari za majukumu wana jukwaa la siasa.poleni na hongereni kwa harakati za maisha ya kila siku hasa katka kuchambua sera za wagombea wetu ikiwa ndio tupo ukingoni kuelekea October.
Nimesoma mchepuo wa EGM (B+,B,B+) nimemaliza mwaka 2014 na nimefaulu lakini tatizo lang kbwa ni katika kchagua kozi ya kusoma chuo.lakini natamani nisome masuala a petroleum pale UDOM mana nimeona vigezo ninavyo vya kudahiliwa pale mana wanahitaji two principle pass kati ya masomo yafuatayo; PHYSICS,ADV MATH,GEOGRAPHY& CHEMISTRY. Au nikasome bachelor of science with GEOLOGY-UDSM
Je,kutokana na mchepuo wangu wa EGM changamoto gani naweza kukumbana nazo endapo nitapata nafasi hiyo ya kusoma mambo ya petroleum?
na changamoto zipi kama nitachaguliwa Geology?
Nimesoma mchepuo wa EGM (B+,B,B+) nimemaliza mwaka 2014 na nimefaulu lakini tatizo lang kbwa ni katika kchagua kozi ya kusoma chuo.lakini natamani nisome masuala a petroleum pale UDOM mana nimeona vigezo ninavyo vya kudahiliwa pale mana wanahitaji two principle pass kati ya masomo yafuatayo; PHYSICS,ADV MATH,GEOGRAPHY& CHEMISTRY. Au nikasome bachelor of science with GEOLOGY-UDSM
Je,kutokana na mchepuo wangu wa EGM changamoto gani naweza kukumbana nazo endapo nitapata nafasi hiyo ya kusoma mambo ya petroleum?
na changamoto zipi kama nitachaguliwa Geology?