Twasha
Senior Member
- Oct 26, 2015
- 170
- 134
Hii ni historia ya ukweli kabisa.
Imetokea mtu umesoma diploma 1 na 2 ukamaliza mwaka 2018. Baadae ukafuatilia cheti unaambiwa jina lako halipo.
Kuuliza nini tatizo wakajibu matokeo yako ya diploma 1 hatuna,kuja kufuatilia kwa co-ordinator wakasema coursework 2 hukufanya za diploma 1.
Wakati huo sheria ya chuo huwezi kuendelea diploma 2 kama hukufaulu vizuri diploma 1 kwa maana kufika wastani wao uliopangwa.
Pia nilikuwa sidaiwi ada kwahiyo kipindi cha mitihani sikubughudhiwa.
Nina copy ya barua ya class Co-ordinator ambayo iliandikwa kipindi hocho nafuatilia cheti changu imeamuru nisaidiwe kupata hicho cheti.
Walichukua ile Original wakaniambia niende watanipigia. Mpaka sasa huu mwaka wa 3 sijapata cheti changu cha diploma.
Anejua pa kuanzia asinitupe mkono anisaidie.
Natanguliza shukrani za dhati wana JF.
Imetokea mtu umesoma diploma 1 na 2 ukamaliza mwaka 2018. Baadae ukafuatilia cheti unaambiwa jina lako halipo.
Kuuliza nini tatizo wakajibu matokeo yako ya diploma 1 hatuna,kuja kufuatilia kwa co-ordinator wakasema coursework 2 hukufanya za diploma 1.
Wakati huo sheria ya chuo huwezi kuendelea diploma 2 kama hukufaulu vizuri diploma 1 kwa maana kufika wastani wao uliopangwa.
Pia nilikuwa sidaiwi ada kwahiyo kipindi cha mitihani sikubughudhiwa.
Nina copy ya barua ya class Co-ordinator ambayo iliandikwa kipindi hocho nafuatilia cheti changu imeamuru nisaidiwe kupata hicho cheti.
Walichukua ile Original wakaniambia niende watanipigia. Mpaka sasa huu mwaka wa 3 sijapata cheti changu cha diploma.
Anejua pa kuanzia asinitupe mkono anisaidie.
Natanguliza shukrani za dhati wana JF.