Naomba ushauri kuhusu kupata cheti changu cha taaluma

Naomba ushauri kuhusu kupata cheti changu cha taaluma

Twasha

Senior Member
Joined
Oct 26, 2015
Posts
175
Reaction score
143
Hii ni historia ya ukweli kabisa.

Imetokea mtu umesoma diploma 1 na 2 ukamaliza mwaka 2018. Baadae ukafuatilia cheti unaambiwa jina lako halipo.

Kuuliza nini tatizo wakajibu matokeo yako ya diploma 1 hatuna,kuja kufuatilia kwa co-ordinator wakasema coursework 2 hukufanya za diploma 1.

Wakati huo sheria ya chuo huwezi kuendelea diploma 2 kama hukufaulu vizuri diploma 1 kwa maana kufika wastani wao uliopangwa.

Pia nilikuwa sidaiwi ada kwahiyo kipindi cha mitihani sikubughudhiwa.

Nina copy ya barua ya class Co-ordinator ambayo iliandikwa kipindi hocho nafuatilia cheti changu imeamuru nisaidiwe kupata hicho cheti.

Walichukua ile Original wakaniambia niende watanipigia. Mpaka sasa huu mwaka wa 3 sijapata cheti changu cha diploma.

Anejua pa kuanzia asinitupe mkono anisaidie.
Natanguliza shukrani za dhati wana JF.
 
Transcript hauna? Maana hiyo ndo cheti halisi.
 
Back
Top Bottom