Naomba ushauri kuhusu kilimo cha Maharage

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, Mimi ni mkulima wa Machungwa na Mahindi Muheza Tanga ila msimu huu nataka kujaribu kilimo cha Maharage, nimeandaa eneo la eka 2 ila eneo lina michungwa mikubwa ambayo Tayari inazaa, je, naweza kuchanganya michungwa na Maharage? Je, kivuli cha michungwa hakiwezi kuathiri Maharage, naomba ushauri kwa wazoefu.
 
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, Mimi ni mkulima wa Machungwa na Mahindi Muheza Tanga ila msimu huu nataka kujaribu kilimo cha Maharage, nimeandaa eneo la eka 2 ila eneo lina michungwa mikubwa ambayo Tayari inazaa, je, naweza kuchanganya michungwa na Maharage? Je, kivuli cha michungwa hakiwezi kuathiri Maharage, naomba ushauri kwa wazoefu.
Kivuli marazote hakifai kwenye mazao kwani mazao yanahitaji mwanga ili kukua vizuri na kutengeneza matunda. Vile vile kivuli huweza kusababisha fungus kwa mmea. Hivyo unaweza ukapanda maharage kwenye shamba la michungwa lakini hakikisha upunguzie matawi ili mwanga upenye vema. La sivyo huwezi kupata mavuno mazuri.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kivuli marazote hakifai kwenye mazao kwani mazao yanahitaji mwanga ili kukua vizuri na kutengeneza matunda. Vile vile kivuli huweza kusababisha fungus kwa mmea. Hivyo unaweza ukapanda maharage kwenye shamba la michungwa lakini hakikisha upunguzie matawi ili mwanga upenye vema. La sivyo huwezi kupata mavuno mazuri.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Asante sana
 
Kivuli marazote hakifai kwenye mazao kwani mazao yanahitaji mwanga ili kukua vizuri na kutengeneza matunda. Vile vile kivuli huweza kusababisha fungus kwa mmea. Hivyo unaweza ukapanda maharage kwenye shamba la michungwa lakini hakikisha upunguzie matawi ili mwanga upenye vema. La sivyo huwezi kupata mavuno mazuri.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mti wa matunda haupunguzwi matawi, sasa si utakata matunda?
 
Naona wakulima mmenilia buyu ila nimeamua kupanda hivyo hivyo, maana nimeshalima
Nashauri uweke picha ya michungwa ili tukushauri. Mi naona inategemeana na distance... ila mara nyingi michungwa inahitaji visahani na kuizungukia mara kwa mara kwa mambo ya dawa na upogoleaji... kivuli chake muda mwingne hata nyasi hazioti sidhani kama itakuwa mujarabu kupanda maharage chini
 
Back
Top Bottom