Naomba ushauri kuhusu haya matokeo ya TRA.

Naomba ushauri kuhusu haya matokeo ya TRA.

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,744
Reaction score
25,562
Habari ndugu zangu?

Kama walivyojaribu bahati zao watanzania wenzangu katika kufanya interview utumishi kwa ajili ya TRA basi nami nilijaribu bahati yangu na matokeo yametoka leo na namshukuru mwenyezi Mungu nimefaulu paper zote mbili yaani tax na custom.

Hivyo nauliza katika oral interview naruhusiwa kufanya kwa posts zote maana nimepangiwa tarehe tofauti tofauti?

Asanteni
 
habari ndugu zangu?
kama walivyojaribu bahati zao watanzania wenzangu katika kufanya interview utumishi kwa ajili ya Tra basi nami nilijaribu bahati yangu na matokeo yametoka leo na namshukuru mwenyezi Mungu nimefaulu paper zote mbili yani tax na custom.so nilikua nauliza katika oral interview naruhusiwa kufanya kwa posts zote maana nimepangiwa tarehe tofauti tofauti?
asanteni

Hongera mkuu.

unaruhusiwa kufanya zote utayofaulu zaidi ndio utakayopangiwa.

Usaili mwema.
 
Wakuu na mimi naomba kujuzwa nasikia watu wanajdili kuhusu practical interviews, je hii inazihusu kada za tax officer, revenue officer na customs?? asanteni.
 
Wakuu na mimi naomba kujuzwa nasikia watu wanajdili kuhusu practical interviews, je hii inazihusu kada za tax officer, revenue officer na customs?? asanteni.
Ndio nini hiyo??
Fafanua kwa niaba ya wenzako wengine
 
Ungepigwa chini cjui kama ungeleta uzi hapa.
 
Usije ukajipa kazi baada ya kufaulu written utakonda kwa mawazooo

All the best mkuu
 
Back
Top Bottom