Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Isuzu Big Horn

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,567
32,221
Wakuu nimebabatiza pesa sehemu nataka ninunue gari kubwa kiasi nayo ISUZU BIG HORN mwenye kuijua vizuri:

1. Ulaji wa MAFUTA;

2. Spea zake;

3. Mafundi wetu wa Kibongo je wanaziwezea?
 
Wakuu nimebabatiza pesa sehemu nataka ninunue gari kubwa kiasi nayo ISUZU BIG HORN mwenye kuijua vizuri
1. Ulaji wa MAFUTA;
2. Spea zake;
3. Mafundi wetu wa Kibongo je wanaziwezea?
Ninayo Isuzu bighorn. 2002 model. Diesel engine 3000cc. Automatic. Ni gari nzuri sana, nimeiendesha kwa miaka 6 sasa. Inakunywa mafuta vizuri like 10-11km/ltr. Iko very stable barabarani as compared to Toyota Prado Kzj95. Ina speed sana na turbo charger inafungua haraka sana.
Na body yake iko very strong.
Kwa sasa naiuza. Na kama uko interested tuwasiliane kwa namba: 0718885512, 0787538394 or Whatsapp: 0787538394. E-mail: karibu!. ryobaus@gmail.com
 
Wakuu nimebabatiza pesa sehemu nataka ninunue gari kubwa kiasi nayo ISUZU BIG HORN mwenye kuijua vizuri
1. Ulaji wa MAFUTA;
2. Spea zake;
3. Mafundi wetu wa Kibongo je wanaziwezea?
Spare zinapatikana. Kama uko Dar. Dealers ni Sunny auto spares, wako Kisutu. Na pacific auto spares. Wako karibu na mataa ya morogoro road na msimbazi street.
Mafundi wako wengi inategemea ni electrical or mechanical faulty.
 
Gari iko vizuri hiyo, hakikisha unanunua inayotumia diesel, ulaji wa mafuta uko vizuri 13km/L. Mafundi wapo wa kutosha kutokana na tatizo. Iko sensitive sana na Engine Oil, lazma uweke inayofaa. Haitaki mafundi uchwar. Inakimbia sana kama una roho nyepesi unamaliza zote 180km/h.

Mimi ninayo ya mwaka 2000, 4JX1 Turbo Engine, Manual Transmission tangu 2013.
 
Spare expensive kulinganisha na gari aina gani?. Nadhani kwa volume ya gari na body shape tulinganishe na Toyota Prado. Wengine wanaiita mayai. Yaani model: Kzj 95 yenye injini ya 1KZ. Performance wise, durability, na stability huwezi linganisha na Isuzu bighorn, hasa new model yenye injini 4jx1. Toyota Prado zimeanguka sana kutokana na muundo wake wa suspension system. Ina coil springs mbele na nyuma. So barabarani at high speed it tends to sway kutokana na kunesa nesa kwa coil springs.
Tatizo ni kwamba watu wengi wamezoea Toyota Prado kwa kufuata trade mark ya Toyota. Ila kwa wale ambao tumeendesha Isuzu bighorn kwa muda mrefu tutakwambia kuwa in comparison of these two vehicles, Isuzu bighorn is good. Na kwa sasa watu wengi wameanza kuzielewa na kuzinunua. More over bei yake for off road and 4x 4 vehicle iko poa compared to Toyota Prado, kxj 95.
Ukihitaji ushauri niko tayari kusaidia. Cse nimekaa na Isuzu bighorn mwaka wa 6 sasa. And the vehicle is still running greatly.
 
Unaibana bei gani?
 

Una comparw huu uchafu na prado??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…