M Mlt Member Jun 22, 2017 33 14 Jun 27, 2017 #1 Naomba ushauri nataka nikasome diploma ya mechanics!! Sasa sijui kama kwa upande wa ajira itakuwa poa au la!! Ushaur wenu muhuni kwangu
Naomba ushauri nataka nikasome diploma ya mechanics!! Sasa sijui kama kwa upande wa ajira itakuwa poa au la!! Ushaur wenu muhuni kwangu
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,937 69,220 Jun 27, 2017 #2 sasa mkuu unasoma ili ukaajiriwe..kwa nini usiwaze na kujiajiri... Anyways nisikukatishe tamaa, kama unaona uko fit nenda kasomee uwe na fani yako..mambo yatajipa huko mbele huwezi kujua
sasa mkuu unasoma ili ukaajiriwe..kwa nini usiwaze na kujiajiri... Anyways nisikukatishe tamaa, kama unaona uko fit nenda kasomee uwe na fani yako..mambo yatajipa huko mbele huwezi kujua
yang JF-Expert Member Feb 17, 2012 733 801 Jun 27, 2017 #3 Kasome civil engineering piga chini hiyo mechanical But kama ni passion yako haswa kasome hiyo hiyo mechanical
Kasome civil engineering piga chini hiyo mechanical But kama ni passion yako haswa kasome hiyo hiyo mechanical