jazia nyama basi usiwe mvivu1.Ni biashara gani naweza kuifanya kwa kuanzia na mtaji wa mil5 na ikanipa matokeo mazuri
2.Biashara ya hardware inahitaji mtaj kiasi gani kuanzisha?
Tangajazia nyama basi usiwe mvivu
upo mkoa gani kwanza?
Anza na unachokipenda kwanza, we ndani ya nafsi yako unapenda kufanya shughuli gani? Kabla haujapata mawazo ya watu1.Ni biashara gani naweza kuifanya kwa kuanzia na mtaji wa mil5 na ikanipa matokeo mazuri
2.Biashara ya hardware inahitaji mtaj kiasi gani kuanzisha?