Naomba ushauri juu ya kununua laptop

mfocbsjut

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
473
246
Wanajamii naombeni ushauri wenu. Ninataka kununua laptop na nimevutiwa na modeli mbili moja ya samsung na moja ya dell. Specs zake ni kama zifuatazo:<br><br><strong>Dell &nbsp;Inspiron 5040</strong><br>Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz<br>Memory: &nbsp; 4gb ddr3 ram<br>Hard disk: 500 gb<br>Operating system: DOS<br>Price &nbsp;:Tsh 890,000<br><br><strong>Samsung RV511</strong><br>Processor:&nbsp;&nbsp;Intel core i3 380m @ 2.53ghz<br>Memory: 3gb ddr3 ram<br>Hard disk: 320 gb<br>Operating system: Windows 7 home premium<br>Price: Tsh 990,000<br><br>Waungwana naombeni ushauri niko njiapanda. Nilishataka kununua dell ila nikaambiwa na watu kwamba dell za siku hizi nyingi zimeshachakachuliwa hivyo si imara. Please naombeni mawazo yenu.<br><br><br>
 
hakuna chukua kitu DELL kitu cha kazi, zote zimechakuchuliwa, siku hizi zinaanzia lini?, mimi natumia DeLL mpaka naenjoy lakini hizo sumsung kwanza wageni kwenye mtaa wa computer
 
Back
Top Bottom