Naomba ushauri juu ya kununua laptop

mfocbsjut

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
473
246
Wanajamii naombeni ushauri wenu. Ninataka kununua laptop na nimevutiwa na modeli mbili moja ya samsung na moja ya dell. Specs zake ni kama zifuatazo:

Dell Inspiron 5040
Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz
Memory: 4gb ddr3 ram
Hard disk: 500 gb
Operating system: DOS
Price :Tsh 890,000

Samsung RV511
Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz
Memory: 3gb ddr3 ram
Hard disk: 320 gb
Operating system: Windows 7 home premium
Price: Tsh 990,000

Waungwana naombeni ushauri niko njiapanda. Nilishataka kununua dell ila nikaambiwa na watu kwamba dell za siku hizi nyingi zimeshachakachuliwa hivyo si imara. Please naombeni mawazo yenu.
 
Wanajamii naombeni ushauri wenu. Ninataka kununua laptop na nimevutiwa na modeli mbili moja ya samsung na moja ya dell. Specs zake ni kama zifuatazo:

Dell Inspiron 5040
Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz
Memory: 4gb ddr3 ram
Hard disk: 500 gb
Operating system: DOS
Price :Tsh 890,000

Samsung RV511
Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz
Memory: 3gb ddr3 ram
Hard disk: 320 gb
Operating system: Windows 7 home premium
Price: Tsh 990,000

Waungwana naombeni ushauri niko njiapanda. Nilishataka kununua dell ila nikaambiwa na watu kwamba dell za siku hizi nyingi zimeshachakachuliwa hivyo si imara. Please naombeni mawazo yenu.
Mimi sio mtaalamu sana wa haya madudu
Lakini kwa maana ya specification Dell imetisha kwenye memory na hard disk,
 
Duh, hivi kumbe DOS bado inatumika kama operating system...DOS ni ngumu kuitumia maana inatumia comand ku run programs
 
nunua laptop yenye window 7 moja kwa moja na kama unataka msaada zaidi nitafute kwa number hii 0714853959
 
Wanajamii naombeni ushauri wenu. Ninataka kununua laptop na nimevutiwa na modeli mbili moja ya samsung na moja ya dell. Specs zake ni kama zifuatazo:

Dell Inspiron 5040
Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz
Memory: 4gb ddr3 ram
Hard disk: 500 gb
Operating system: DOS
Price :Tsh 890,000

Samsung RV511
Processor: Intel core i3 380m @ 2.53ghz
Memory: 3gb ddr3 ram
Hard disk: 320 gb
Operating system: Windows 7 home premium
Price: Tsh 990,000

Waungwana naombeni ushauri niko njiapanda. Nilishataka kununua dell ila nikaambiwa na watu kwamba dell za siku hizi nyingi zimeshachakachuliwa hivyo si imara. Please naombeni mawazo yenu.

Je hivyo ndivyo vitu vilivyo muhimu kwako.


Hiyo Dell imekaa vizuri ila haina GUI OS ya windows ukitaka kununua windows kihalali basi gharama itaongezeka. Nadhani ati ya Dell na samsung chukua Dell. Lakini uwe tayari kuchakachukau wndows Seven au kununua kihalali kama si mtaalam sana.

Otherwise cheki dell yenye specs kama hizo iwe na OEM OS ya windows uone bei yake Au waambie wakumbi gharm yke kama utaitaji wauwekee Windows 7.

Vile vile kwa mshine yeyote utayochagua ni vizuri kwa sasa uchgue amabyo ni 64 bit na sio 32. So ulizia waulize hao dell kama hiyo dell na hata hao samsung bei hiyo ni 64 au 43 machine.
 
Kwa ushauri wangu,kama ingekuwa sio swala la uchakachuaji wa hiyo dell,we ichukue sababu km suala ni DOS wala hata sio issue,maana windows 7 ni simple kuiweka,zipo pirated kibao,labda km unataka genuine one,japo hata genuine zinapatikana kama kawa,chukua dell.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom