Naomba ushauri juu ya kozi za udemy

Naomba ushauri juu ya kozi za udemy

kingphisher

Senior Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
119
Reaction score
226
Wakuu wana JF, hope mpo salama.

Ni graduate mwenye uchu wa kujua programming na mambo ya system security(cyber) kwa udani, nimejaribu kupitia youtube tutorials ila bado sijaridhika, nimetumia resources mbali mbali lakini katika harakati za kutafuta more resources, nikapata Wazo la UDEMY courses.

Kwa wale ambao wametimiza ndoto zao kwa kutumia kozi zozote za Udemy, naomba aweze kutoa comment yoyote.

Je, hizo zina ubora gani kwa upande wa coding/programming hasa softeware development?

Na je, kuhusu cyber, kama kuna mtu amewahi kuzisoma hizo kozi, hao majamaa wanatoa real world practicals ambazo zinaweza kuniongezea kitu nikiweka na juhudi zangu?

Naombeni ushauri maana nimedhamiria sana kusoma udemy courses regrdless how costy they are.
 
Sijaingia Udemy muda mrefu.
Ninachoweza kukuambia ubora au uzuri wa kozi mle inategemea na instructor husika au kozi husika.
Zingine za hovyo Sana tena Ni utangulizi tu.
Zingine bora Sana.
Labda ungechagua kozi moja ya instructor (tutor) mmoja au wawili kisha njoo uulize kozi hii ya huyu mliopitia ipoje?
Pia soma reviews au maoni ya wenzio waliolipia na kutoa maoni kwenye kozi husika.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Nilisha lipia kozi moja ya mwiingereza mmoja ilikuwa upotevu wa pesa.
Nilipakua (download) kozi nyingine pirate copy kwenye torrent sites ilikuwa Bora Sana. Kozi toka Udemy humo humo na zilihusu kitu hicho hicho.
 
Wakuu wana JF, hope mpo salama.

Ni graduate mwenye uchu wa kujua programming na mambo ya system security(cyber) kwa udani, nimejaribu kupitia youtube tutorials ila bado sijaridhika, nimetumia resources mbali mbali lakini katika harakati za kutafuta more resources, nikapata Wazo la UDEMY courses.

Kwa wale ambao wametimiza ndoto zao kwa kutumia kozi zozote za Udemy, naomba aweze kutoa comment yoyote.

Je, hizo zina ubora gani kwa upande wa coding/programming hasa softeware development?

Na je, kuhusu cyber, kama kuna mtu amewahi kuzisoma hizo kozi, hao majamaa wanatoa real world practicals ambazo zinaweza kuniongezea kitu nikiweka na juhudi zangu?

Naombeni ushauri maana nimedhamiria sana kusoma udemy courses regrdless how costy they are.
Ndugu yangu ninachoweza kukushauri kafungue account reddit.com. Halafu jiunge Sub-reddit ya unachotaka kujifunza. Halafu utakuta watu wenye changamoto kama yako ambao waliuliza wakajibiwa na wataalamu. Ila vitu vinabadilika kwa haraka sana ukikuta the latest mtu aliuliza swali kama la kwako ni zaidi ya 3 months ago uliza swali lako mwenyewe. Ukiuliza ambatanisha kuwa unataka ujifunze skillz gani ? njia gani ni sahihi ? pamoja na malengo yako na muda unaotegemea ku-invest kwenye kujifunza ?
 
Unataka programming language gani?
Au ya technology gani?
Mfano Android, Java, C#, MVC, REST API, PhP, e.t.c
 
Unataka programming language gani?
Au ya technology gani?
Mfano Android, Java, C#, MVC, REST API, PhP, e.t.c
mkuu i have intermediate ya laravel, and i have managed to develope some 'todo' projects (CRUD), Na kwa asilimia 80, nimeandika codes mwenyewe ila asilimia 20 nimetumia other resources kukamilisha.
nimeweza kutengeneza simple school management system. ila kilichonishinda kuelewa ni how to create and work with A.P.Is in fetching data.
kwa kuwa i have some skills in laravel, nataka nijifunze one of the frontend framework, ambayo for my preference, nimeamua nijifunze react.
sasa hii react jaribu kutumia yutube, naona mambo hayapandi. nilivyoingia udemy, nikaona "fullstack development" nikaona nizame humo humo.
 
Mimi ningekushauri ingia Udemy na site zingine mfano wa hizo
Tafuta kozi ukiiona chukua jina na tutor kisha kaitafute kwenye torrents.
 
mkuu i have intermediate ya laravel, and i have managed to develope some 'todo' projects (CRUD), Na kwa asilimia 80, nimeandika codes mwenyewe ila asilimia 20 nimetumia other resources kukamilisha.
nimeweza kutengeneza simple school management system. ila kilichonishinda kuelewa ni how to create and work with A.P.Is in fetching data.
kwa kuwa i have some skills in laravel, nataka nijifunze one of the frontend framework, ambayo for my preference, nimeamua nijifunze react.
sasa hii react jaribu kutumia yutube, naona mambo hayapandi. nilivyoingia udemy, nikaona "fullstack development" nikaona nizame humo humo.
Za kuongezea join zile course za bure za Havard, wanafundisha na vi homework wanatoa. wajuzi watazifafanua zaidi
 
Unataka nini ndugu Graduate
1. Programming
2. Cybersecurity

Tutorials hazikupeleki popote mkuu, Fanya project
mkuu hii ni sahihi, shida, bado sijapata sehem ya kufanya real practicals, japokuwa personaly natengeneza projects ndogo ndogo.
lakini upande wa cyberSec, ndo nashindwa kupata sehem ya kufanya hizo project.

kama kuna mtu ana ka mpuni au anaweza kuniipatia hata connection basi anisaide niweze kujua mambo zaidi
Mimi ningekushauri ingia Udemy na site zingine mfano wa hizo
Tafuta kozi ukiiona chukua jina na tutor kisha kaitafute kwenye torrents.

sawa mkuu, sema kwa tafiti nilizofanya, hasa kule reddit, huyu mmama ( Dr. Angela Yu, Developer and Lead Instructor) nimeona watu wanamsifia sana
 
mkuu hii ni sahihi, shida, bado sijapata sehem ya kufanya real practicals, japokuwa personaly natengeneza projects ndogo ndogo.
lakini upande wa cyberSec, ndo nashindwa kupata sehem ya kufanya hizo project.

kama kuna mtu ana ka mpuni au anaweza kuniipatia hata connection basi anisaide niweze kujua mambo zaidi


sawa mkuu, sema kwa tafiti nilizofanya, hasa kule reddit, huyu mmama ( Dr. Angela Yu, Developer and Lead Instructor) nimeona watu wanamsifia sana
Unataka kuwa programmer ama cybersecurity analyst?
Keki ya TechWorld ni kubwa hivyo chagua Niche unayotaka kuifanyia kazi.
Baada ya kuchagua upande ndio tukwambie uelekeo ni upi
 
mkuu hii ni sahihi, shida, bado sijapata sehem ya kufanya real practicals, japokuwa personaly natengeneza projects ndogo ndogo.
lakini upande wa cyberSec, ndo nashindwa kupata sehem ya kufanya hizo project.

kama kuna mtu ana ka mpuni au anaweza kuniipatia hata connection basi anisaide niweze kujua mambo zaidi


sawa mkuu, sema kwa tafiti nilizofanya, hasa kule reddit, huyu mmama ( Dr. Angela Yu, Developer and Lead Instructor) nimeona watu wanamsifia sana
Basi lipia kozi Udemy ili wakupe na sehemu ya kufanya lab work (practicals).
Mara nyingi mwenye kozi hukupa virtual workspace ya bure.
 
Unataka kuwa programmer ama cybersecurity analyst?
Keki ya TechWorld ni kubwa hivyo chagua Niche unayotaka kuifanyia kazi.
Baada ya kuchagua upande ndio tukwambie uelekeo ni upi

cyberSec ni second option coz ni kitu ambacho once nilikuwa nakipenda, ila programming ndo my first choice, I always spend free going through programming staffs
 
Back
Top Bottom