lilly petet
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 144
- 22
habari wana jamii forum mm ni mdada mwenye umri wa kati, naishi na mwanaume kama mume wangu ana tabia ambazo kwa kweli sizielewi kabisaaa! kwanza kwetu hajatoa chochote, pia yanayonikera ni haya mambo ya ndani, kwanza ni mtu wa kununa bila sababu yoyote, anakunywa pombe kitu ambaho mm sipend pia anakula ugoro ...naomben ushaur wana jf
habari wana jamii forum mm ni mdada mwenye umri wa kati, naishi na mwanaume kama mume wangu ana tabia ambazo kwa kweli sizielewi kabisaaa! kwanza kwetu hajatoa chochote, pia yanayonikera ni haya mambo ya ndani, kwanza ni mtu wa kununa bila sababu yoyote, anakunywa pombe kitu ambaho mm sipend pia anakula ugoro ...naomben ushaur wana jf
habari wana jamii forum
mm ni mdada mwenye umri wa kati, naishi na mwanaume kama mume wangu ana
tabia ambazo kwa kweli sizielewi kabisaaa! kwanza kwetu hajatoa
chochote, pia yanayonikera ni haya mambo ya ndani, kwanza ni mtu wa
kununa bila sababu yoyote, anakunywa pombe kitu ambaho mm sipend pia
anakula ugoro ...naomben ushaur wana jf
habari wana jamii forum mm ni mdada mwenye umri wa kati, naishi na mwanaume kama mume wangu ana tabia ambazo kwa kweli sizielewi kabisaaa! kwanza kwetu hajatoa chochote, pia yanayonikera ni haya mambo ya ndani, kwanza ni mtu wa kununa bila sababu yoyote, anakunywa pombe kitu ambaho mm sipend pia anakula ugoro ...naomben ushaur wana jf
Tukushauri ufanyeje?
Tabia zake uzizoee?
Aache tabia zake?
Akatoe kitu kwenu?
Umuache au usimuache?
Majibu yote unayo mwenyewe.
ahivi dada hii tabia ya mabinti kuhamia kwa wapenzi wao inasababishwa na nini?tukushauri ufanyeje?
Tabia zake uzizoee?
Aache tabia zake?
Akatoe kitu kwenu?
Umuache au usimuache?
Majibu yote unayo mwenyewe.