Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,871
Damu ni nzito kuliko maji leo nimeumia sana.
Kuna Kaka yangu aliachana na mkewe kitambo sana mtoto akiwa na 2 yrs, yule Mama akamuacha mtoto. Mtoto kalelewa na baba yake since then Wala bro hajaoa tena masikini sijui alipigwa tukio gani.
Changamoto binti amekuwa ana 12 yrs sasa, nyumbani kwao yupo na baba na dada wa kazi tu. Leo alikuja kuniona nimeona mabadiliko makubwa kwa mtoto chunusi,ckifua etc nikajua huyu tayari. Ila nimeogopa kumuuliza, pia kumshauri Kama mama.
Naombeni ushauri sitaki niece wangu apate changamoto za kimwili kama Mimi aunty yake sitaki apitie maisha yangu. Kusema kweli sikufundishwa chochote na mtu japo simlaumu mtu kwa niliopitia ila sitaki mwingine yampate.
Kuna Kaka yangu aliachana na mkewe kitambo sana mtoto akiwa na 2 yrs, yule Mama akamuacha mtoto. Mtoto kalelewa na baba yake since then Wala bro hajaoa tena masikini sijui alipigwa tukio gani.
Changamoto binti amekuwa ana 12 yrs sasa, nyumbani kwao yupo na baba na dada wa kazi tu. Leo alikuja kuniona nimeona mabadiliko makubwa kwa mtoto chunusi,ckifua etc nikajua huyu tayari. Ila nimeogopa kumuuliza, pia kumshauri Kama mama.
Naombeni ushauri sitaki niece wangu apate changamoto za kimwili kama Mimi aunty yake sitaki apitie maisha yangu. Kusema kweli sikufundishwa chochote na mtu japo simlaumu mtu kwa niliopitia ila sitaki mwingine yampate.