Najaribu kufeel jinsi huyo dada alivokuwa anajiskia aloo usiombe ile hali ikukute ..kuachwa na mtu ambae bado unampenda tena bila sababu ya msingi ..nafsi na hali halisi zinapingana unaumia bilakupigwa.maumivu yake hayaelezeki kimaandishi wala kimaneno ..Mungu huwa anajibu kwa wakati hasa kwa chozi lisilo na hatia namshukuru nilipo ni mahali bora na sahihi muda wake wa kuhaha kaoa na kuacha ndani ya miaka 2.Thats KARMA