Naomba ushauri jamani


mxxiiuuuuu
yaani nimekasirika utafikir nn, huyu mwanamke ametokea sayari gani? sisi wengine hata hela ya mboga hatupewi yeye anachezea hela ya ujenzi, mxxxxiuuu
 

Nashukuru Kamusi,
 
Pole ndugu,pesa anazo na akimaliza mipango yake anakumaliza.muombe Mungu akunusuru

na hawa wenzetu hawakawii kukurestisha in piece ili warithi aisee, nasikia huko kwao kuna akina wamama wajane zaidi ya 90% hasa mume akishatafuta za kutosha basi atatangulia mbele za haki..

hawa sijui ni wakikuyu, hivi mbona hawafananai na makabila mengine ya tz? tungweza kuwahamisha na mlima wao kilimanjaro wakaenda kuungana na jirani zao wakikuyu maana wanafanana kila kitu..nafikiri ni specie moja hawa
 
Thanks. Hili nimeishalianzisha, sasa kazi yake au nafasi yake kwenye familia inakuwa nini?

Ndugu yangu mi naona hapa mambo yooote haya na hasira zooote hizi ni kutokana na mitihani uliyoipata ya kiafya na Utafutaji pesa wako bahati mbaya umeshuka na si kama zamani. Wewe jiulize mbona ulivyokuwa unaingiza kwa wingi haya matatizo yooote hukuyaona?

Mke ana wajibu mkubwa sana kutambua na kutoa mchango mkubwa pale ambapo hali ya kiuchumi itashuka ndani ya nyumba. Mambo yaliyopita yamepita ila anatakiwa atoe mchango wake ndani ya nyumba ili angalau muishi kwa amani. Mpe majukumu ya kulipia vitu humo ndani ya nyumba na mueleze kuwa uwezo wako kifedha ukirudi kama zamani utampokea. Uking'ang'ania kuingilia biashara zake mtagombana maana sasa hata heshma kwako imeshuka atakuwa anakuona kama uko chini yake kwa kuwa yeye huenda anajiona ana pesa na afya kuliko wewe.

Kipindi hiki muombe anunue labda chakula, amlipie ada mtoto na kwa kadri siku zinavyoendelea muongezee majukumu ya ndani kwa kufanya hivyo utakuwa unarudisha jasho lako kidogo kidogo.
 

Nashukuru, japo sijawahi wala sifikirii kumuachia jukumu lolote lile la kipesa.
 
Yelewiii, kumbe umeoa mangi
Babangu kuhusu pesa sahau na kama ni mmchame lol! Kumbuka ya ufo saro

 
Kama nimemuelewa mleta mada, na jinsi anavyojibu hoja za wadau hapa ni kwamba haya yote mleta hoja nayafanya, kufuatilia na kuuliza juu ya matumizi ya pesa na biashara kwa ujumla lakini mwanamke hatoi ushirikiano wowote. Binafsi namjudge huyu dada kama mfujaji asiyekuwa na future na familia yake


 
Sijakucheka kakangu, sana sana nakuonea huruma kukutana na type ya ufoo, nimeshangaa na kusikitika kuona mkeo anatuma picha kwa wanaume wawili tofauti

Unanicheka??
 
Sijakucheka kakangu, sana sana nakuonea huruma kukutana na type ya ufoo, nimeshangaa na kusikitika kuona mkeo anatuma picha kwa wanaume wawili tofauti

ram mwenzio ameona unamcheka sababu umeandika lol hapo juu meaning Laughing Out Loud
Pole sana Kaka jambo jema ni kwamba umeshajua jinsi mwenzio alivyo na kwa kiasi kikubwa naona umekwisha chukua maamuzi. Suala kubwa lililobaki ni juu ya kuendelea kuwa pamoja au lah. Ushauri wangu kwako ni take a break then utajua kama unataka kuendelea nae or not
 
Last edited by a moderator:

hata hilo tatizo ninalo pia. Hapo ndo huwa naona ndoa ni chungu sana.
 

u a very ryt
huyo mwanamke kuna bness anafanya na ndugu zake ndo maana anakuwa mkali unapomuuliza

pole mkuu
 
u a very ryt
huyo mwanamke kuna bness anafanya na ndugu zake ndo maana anakuwa mkali unapomuuliza

pole mkuu
Kwa hali hiyo unaweza ukakuta mtu anajinyonga halafu tukamcheka na kumzodoa lakini kwenye ndoa kama hamna ushirikiano,mmoja anafanya kwa ajiri ya wote mwingine anafanya kwa ajiri yake mwenyewe ndoa huwa inakuwa ngumu kweli
 
Kwa hali hiyo unaweza ukakuta mtu anajinyonga halafu tukamcheka na kumzodoa lakini kwenye ndoa kama hamna ushirikiano,mmoja anafanya kwa ajiri ya wote mwingine anafanya kwa ajiri yake mwenyewe ndoa huwa inakuwa ngumu kweli

inshort huyo mwanamke ni nyoka!!!
yaani kaniboa
na asipokuwa makini atamuua abaki na mihela

haiingii akilini unaumwa mkeo anabaki kwa wazaz wake badala ya kuwa na ww bega kwa bega!!!?
mi ndo maana nipo makini na kaka zangu aisee.
 
sangarara za kuambiwa changanya na zako.
huyo sio mwanamke alikuwa anatafuta ndoa na amewin
bt nakwambia nenda kanisani na kwa mwanasheria vunja hyo ndoa kuanza upya c ujinga
huyo c o mwanamke utakufa kabla ya wakati wako
 
Bro nashauri tena,huyu mke hakufai.Kama afya yako haijali anajali gari,utakufa bure achana nae mrudishe kwao.Huyo ni mmachame nn? Kaka huyo atakuua ili yeye aendelee kumliki mali funguka tua mzgo huo haraka sana.Vp hajakutarfu kwamba ashaona uzi huu?

kabisaaaa atakufa bure
 
Mkuu Sangarara pole sana kwa vile naifahamu hali yako kutokana na kutujulisha mwanzo....pole sana

Kwa bahati mbaya, kwa maelezo yako, nawiwa kusema kwamba hapo kuendelea kuishi kama mke na mume itakuwa ngumu sana mkuu....inaonekana mkeo hataki kubadilika, ni ngumu sana,,I feel your pain, sioni ni kwa namna gani mnaweza kuaminiana tena kama wanandoa, unless kuwe na divine intervention, maana ulihitaji kila aina ya support kutoka kwake, kama ndo anakufrustrate tena inakuwaje apo mkuu, una haki pia ya kuishi kwa amani na furaha,
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…