Naomba ushauri jamani

Naomba ushauri jamani

Nimepata field manispaa ya ilala lakini tangu nimefika hamna kazi yoyote tunayopewa zaidi ya kukaa tu na kama itapewa kazi basi zile ndogo sana kama vile kutafuta faili moja labda afu basi na inapata week ya tatu hii
Inaeleweka kwamba hatulipwi na chakula inajilipia mwenyew lakni ofisini hawajali watu wa field yan hawakuulizi wanakuangalia tu
Sasa nimeona kwa sababu supervisor bado hajapita kukagua basi jitafute sehem nyingine maana watu wengi wana maliza field mwezi wa kumi na moja mimi naanza mwezi wa kumi au hata wa kumi na moja ukitaka maana barua za field zipo mbili kwa sababu ya uchaguzi

Mimi nafanya field semister nzima miezi minne yani (mzumbe morogoro) system yao ndo ilivo.
Kwahiyo nilikua naomba mnishauri nikaombe kwingine wapi ambapo kutakua na afadhari kwamba utajifunza sio kukaa tu
kula maisha ww...tafta mwanamke aliyenona hapoo uish nae vizur
 
Wakufundishe ili uchukue nafasi zao ndio maana wanakucheck tu hapo
 
Nimepata field manispaa ya ilala lakini tangu nimefika hamna kazi yoyote tunayopewa zaidi ya kukaa tu na kama itapewa kazi basi zile ndogo sana kama vile kutafuta faili moja labda afu basi na inapata week ya tatu hii
Inaeleweka kwamba hatulipwi na chakula inajilipia mwenyew lakni ofisini hawajali watu wa field yan hawakuulizi wanakuangalia tu
Sasa nimeona kwa sababu supervisor bado hajapita kukagua basi jitafute sehem nyingine maana watu wengi wana maliza field mwezi wa kumi na moja mimi naanza mwezi wa kumi au hata wa kumi na moja ukitaka maana barua za field zipo mbili kwa sababu ya uchaguzi

Mimi nafanya field semister nzima miezi minne yani (mzumbe morogoro) system yao ndo ilivo.
Kwahiyo nilikua naomba mnishauri nikaombe kwingine wapi ambapo kutakua na afadhari kwamba utajifunza sio kukaa tu
Chief Unapaswa kujua Umekosea kwanza.

Sijaona kama umeenda kwa immediate bosses kuona kwann hampewi kazi .. kuja kushusha shutuma hawajali huku mitandaoni nadhani sio sawa..

Pili acha Haraka... Kila sehemu zina misimu.. unajuaje kama huu si msimu dry!? Kuwa mvumilivu na mwenye hekima unapodeal na watu.

Tatu kazi inayoitaka wewe ni ipi!? Kuwa mwanafunzi mafunzoni sio lazima ufanye wakati mwingine all you have to do is observe. Unajifunza kwa kuona... Wengine wanavyodeal na wafanyakazi wenzao, wateja nk.

Kuwa Mpole.



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hapo sehemu napajua sana nilishawahi kufanya internship miaka ya nyuma.
Hao ndivyo walivyo ni watu fulani hawajiamini wanahisi kama utachukua nafasi zao.
Na kingine pia hawapendi uzijue system zao kuna michongo huwa inafanywa sasa ukiwazoea sana wanahisi utawaharibia.
Cha kukushauri wewe kwa vile bado hujamaliza chuo bado wewe vumilia tu hapo hapo usipaniki utaharibu.
Cha msingi ujipange tu ujue ni jinsi gani utaandaa reports zako za baada ya kumaliza field ili upeleke chuoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom