inawezekana huyo nyapu anakuzimia tu kwahiyo anataka kukurusha roho na kwa staili hiyo hataendelea muda mrefu mlie bati tu,akiona unampotezea ye mwenyewe atazima fegi,usikonde mkuu
Mmege huyo huyo tu. Ukionja mara moja ataona noma kuleta wengine badala yake yeye ndio atakua anaenda kwao. Matter solved,home kwako kutakua tuliii!